Kyakya
JF-Expert Member
- Apr 24, 2009
- 398
- 23
MBU wa kulaumiwa ni Wenger kwa sababu yeye ndio anasajili wachezaji ambao hawana uwezo,ubahili unamfanya anasjili wachezaji wabovu.
Pia wachezaji pia wanastahili lawama Walcot juzi kakosa magoli karibu 5 hapo huwezi kumlaumu kocha
Wachezaji ambao wamejitahidi ni Song,Nasri,Arshavin,RVP but Adebayor na Fabregas msimu huu wamechemka
Mara umlaumu kocha, mara mchezaji kocha hana lawama!! Kwa kweli hizi ni dalili za kuchanganyikiwa. POooooooooooooooole sana. Na bado kisago kitaendelea