Tatizo letu sisi vijana ni kukubali kutumiwa bila kuona adhari na malengo ya wanaotutumia.jussa nimekuwa nikimfuatilia maneno na vitendo vyake ni dhahiri kuwa yeye ni kati ya wanasiasa uchwara wanaoishi kwa fadhila za wakubwa.
Siamini kuwa jussa ajui adhari ya kitendo chake cha kutaka suala la watanzania wa bara kutoajiriwa katika sekta ya utalii zanzibar kama ingepita na kuwa sheria na wabara nao wakiamua yapo mambo ya ajira,bodi ya mikopo elimu ya juu umili wa ardhi n.k. ila kwa uchwara alionao leo nimejua kwa nini ulipinga bila kujua lengo la tanzania kuomba iongezewe eneo la bahari un bila kuona faida za kiuchumi kwa taifa letu.
Kwa nini alisema kufanya vibaya kwa CUF ktk jimbo la rahaleo kumpata mwakilishi tatizo ni wakristo na watanzania bara.
Nashubiri nisikie kituko kingine kutoka kwake
Siamini kuwa jussa ajui adhari ya kitendo chake cha kutaka suala la watanzania wa bara kutoajiriwa katika sekta ya utalii zanzibar kama ingepita na kuwa sheria na wabara nao wakiamua yapo mambo ya ajira,bodi ya mikopo elimu ya juu umili wa ardhi n.k. ila kwa uchwara alionao leo nimejua kwa nini ulipinga bila kujua lengo la tanzania kuomba iongezewe eneo la bahari un bila kuona faida za kiuchumi kwa taifa letu.
Kwa nini alisema kufanya vibaya kwa CUF ktk jimbo la rahaleo kumpata mwakilishi tatizo ni wakristo na watanzania bara.
Nashubiri nisikie kituko kingine kutoka kwake