tonylast
Member
- Jun 26, 2019
- 70
- 46
Habarin wakuuu!
Kama nilivyotangulia kusema mwanzo..kumekua na tabia kw baadhi ya wadada/ wakaka / wababa nk...kupendelea
Kutumiaa aina pendwa ya vyakula..kitaalam tunaita junk foods eg chips, soda , nk Kitu ambayo inapelekeaa wimbi kubwa la Magonjwa kama Dm , obesity , nk.
Issue nyingne tu kuna hii kitu tunaita libido power A.K.A sexual desire & stamina.
Nin tufanye tunatakiwa tubadil life style
Just simple life..mazoez mara 3 kw week
At least kula kw kiasi tena vyakula vy kawaid eg.wal + maharage.
Kama nilivyotangulia kusema mwanzo..kumekua na tabia kw baadhi ya wadada/ wakaka / wababa nk...kupendelea
Kutumiaa aina pendwa ya vyakula..kitaalam tunaita junk foods eg chips, soda , nk Kitu ambayo inapelekeaa wimbi kubwa la Magonjwa kama Dm , obesity , nk.
Issue nyingne tu kuna hii kitu tunaita libido power A.K.A sexual desire & stamina.
Nin tufanye tunatakiwa tubadil life style
Just simple life..mazoez mara 3 kw week
At least kula kw kiasi tena vyakula vy kawaid eg.wal + maharage.