Wote tunatambua ya kuwa ajira ni muhimu katika maisha ya mwanadamu, pia tunatambua ya kuwa kama kijana kuishi ni muhimu kuwa na ajira hivyo ukosefu wa ajira ni jambo gumu kwa kijana, kuliona hilo kuwa ni tatizo kwa vijana nimoona kuanzisha jukwaa litalokusanyisha wasio na ajira ili kuwa na sauti moja . lengo si tu kutaka ajira bali kutafuta namna serikali itavyoweka namna ya vijana waweze kupatiwa mitaji au fulsa za kujiajiri
walio tayari kwenye jukwaa la wasio na ajira naomba wajiunge ili sauti ya umoja ni sauti ya mungu