Ole kama utakyenunua hilo jumba ni mnyakyusa au Msukuma kijiji kizima kitahamia hapo hadi itakuwa kero,kwa kuwabana mimi nina vyumba viwili vya kula changu na cha mwanangu na kasebule kadogoo kamejaa viti hakuna hata nafasi ya kufagia,yote hiyo kukwepa karaha ya kuwa na wageni wakazi