DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga Jumaa Aweso amemuomba Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan atakapopata Ridhaa ya kuongoza Tena Serikali awajengee Wakazi wa Pangani Bandari ya Mifugo
Awesome ameyasema hayo Leo Sept 29,2025 viwanja vya Temba Wilayani Pangani Mkoani Tanga kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Tanga
Awesome amesema kuwa Bandari hiyo ikijengwa utawawezesha wakazi wa Pangani kuchangia Kwa wingi Pato la Taifa kutokana na mzunguko wa kibiashara ambapo chanzo Chake ni uwepo wa Bandari hiyo.
Awesome ameyasema hayo Leo Sept 29,2025 viwanja vya Temba Wilayani Pangani Mkoani Tanga kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Tanga
Awesome amesema kuwa Bandari hiyo ikijengwa utawawezesha wakazi wa Pangani kuchangia Kwa wingi Pato la Taifa kutokana na mzunguko wa kibiashara ambapo chanzo Chake ni uwepo wa Bandari hiyo.