TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Siasa bwana, mchezo mchafu. Huyu jamaa aliwahi kuwatukana viongozi wa dini kuwa wanaandamana kwenda kwa Lowassa kumshinikiza achukue fomu kwa sababu ya NJAA, soma hapa:
"Mtu akiwa na hela zake basi anafanya lolote" Julius Mtatiro. Na kweli jamaa kafanya lolote.Siasa bwana, mchezo mchafu. Huyu jamaa aliwahi kuwatukana viongozi wa dini kuwa wanaandamana kwenda kwa Lowassa kumshinikiza achukue fomu kwa sababu ya NJAA, soma hapa: