Julieth Rushuli aenguliwa BAVICHA

Julieth Rushuli aenguliwa BAVICHA

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
Wandugu,

Julieth ameenguliwa kugombea umakamu mwenyekiti wa BAVICHA.Tuhuma zake ni kutumika na Shibuda na Zitto.

Hata hivyo Julieth alikuwa akitumwa Shinyanga na chama kutokea idara ya sheria wakati ule wa kesi za Shibuda.

Tuhuma ya pili ni kuwa alifoji kuwa diwani viti maalumu Karagwe. Hii nayo ni tuhuma ya kuunda tu,chama ndicho huteua madiwani.

Nijuavyo maofisa wa makao makuu "walimtumia" ndio wakafoji wakampa udiwani.Ilikuwa kesi kubwa hadi dokta akahusishwa kutetea,Julieth akapokonywa udiwani. Kwa hilo nalo siyo kosa lake.

Nadhani atakwenda mahakamani. Tungoje kesho vitimbi zaidi.
 
Hahaha kumeanza kukucha sisi tunasubiri kuona ngumi kuanzia kesho!
kila MTU huko Bavicha ni msaliti hahahhaha
 
Plato endelea kutujuza bila kusahau picha wakianza kupigana mitama.
 
oil chafu tupa huko!!!!!!!....

Kwan kila anayeenguliwa ni Oil chafu? Hivi hakunaga sababu au vigezo vingine mnavyotumia kufikia hitimisho la kumuengua mgombea kwenye chaguzi???


Huyo Mama namfahamu sana ni Mtoto wa Mzee Rushuli. Mzee maarufu sana pale Bukoba mitaa ya kashai na anamiliki Bar. Toka miaka ya 2000 hii familia ni ya upinzani. Kuanzia siasa za Cuf mpaka Chadema hasa baada ya Lwakatare kuhama cuf na kujiunga Chadema hii familia imeendelea kuwa upinzani.

Ni wanaharakati wazuri tu. Sasa unapokuja hapa na kuleta pumba zako mbele za watu kuwa huyo Julieth ni oil chafu me nakuona kama mpumbavu au nzi anayekula mavi kwa maneno ya kukaririshwa.

Huyo julieth ni Chadema damu mpaka baba yake sasa takataka kama wewe na mpinzani pekee ndani ya familia yenu unapokuja hapa kuwadhalilisha watu nashndwa ukuelewa... nahisi ule msemo wa Lumumba buku saba yawezekana hata Chadema ipo Ufipa buku 3 na mpo mnatumika kwelikweli kuchafua watu.
 
kama hajaridhika akate rufaa tu, chadema kina msikiliza kila kitu, kama anastahili atapata haki yake. Lakini ajue tuna system kali sana ya kuscan nyendo zake achukue tahadhari.

...Kwa hisani ya watu wa Tanganyika
 
Hilo tangazo la kuenguliwa limetangazwa na kikao gani? source please kama si umbea wa ACT kusubili makapi kama fisi anaemendea mkono wa binadamu anaetembea akidhani utaanguka apate kitoewo.
 
John mrema ametutangazia wajumbe jana usiku kwenye kikao.
 
wandugu,
julieth ameenguliwa kugombea umakamu mwenyekiti wa bavicha.tuhuma zake ni kutumika na shibuda na zitto. hata hivyo julieth alikuwa akitumwa shinyanga na chama kutokea idara ya sheria wakati ule wa kesi za shibuda.
tuhuma ya pili ni kuwa alifoji kuwa diwani viti maalumu karagwe. hii nayo ni tuhuma ya kuunda tu. chama ndicho huteua madiwani.
nijuavyo maofisa wa makao makuu "walimtumia" ndo wakafoji wakampa udiwani.ilikuwa kesi kubwa hadi dokta akahusishwa kutetea,julieth akapokonywa udiwani. kwa hilo nalo siyo kosa lake. nadhani atakwenda mahakamani. tungoje kesho vitimbi zaidi.

Chadema kweli nyota ya zitto itawatesa sana.
Huyu mdada mnamuita ni team zitto
Mbarouk team zito
ben nae mlimpiga chini ni team zitto
yeriko kaumbuliwa kigamboni ni team zitto
kila aliyewahi itwa kifaranga ni team zitto sasa team wahafidhina ni akina nani
 
Kulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.
 
Unamuuliza nani ?
Leo mbona unekuwa mdogo kama pilitoni?
 
Kulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.

Mkuu Ludovic unataka ufahamishwe wewe kama nani?
 
mara una info zote za ndani ya chadema,mara unataka kujulishwa nani kaenguliwa!
 
Huyu bwana hachoki tu...aaa..Please give us a break! tupumue lol...
 
Kulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.
Kwani Bavicha ina uhusiano na ACT? wewe si mwanachama wa ACT? sasa ya CDM unayatakia nini wewe mnafiki?
 
unaitamani kumbe BAVICHA ha haaaa.....utaumia sana kutaka kurudi maana kama ungekuwa hauipendi usingekuwa unaifuatilia sana HV
 
Back
Top Bottom