VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Hata kama chama kitajichora kama kilicho imara na pamoja,kura za maruhani hazitaepukika wala kuzuilika Dodoma. Makada wamejipanga kutuma ujumbe. Ujumbe wa kutokukubaliana na kukabidhi badala ya kuchagua Mwenyekiti wa Taifa wa CCM.
Makada wanajipanga kutuma ujumbe wa kura za maruhani. CCM ina bahati moja. Hapa Dodoma, kura zitapigwa na wanaCCM,kuhesabiwa na matokeo kutangazwa nao wenyewe. Hata kura zisipotosha,zitatosha. Lakini,ujumbe utakuwa umeshatumwa kwa wakuu.
Karibuni Dodoma makada tutume ujumbe chamani mwetu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Makada wanajipanga kutuma ujumbe wa kura za maruhani. CCM ina bahati moja. Hapa Dodoma, kura zitapigwa na wanaCCM,kuhesabiwa na matokeo kutangazwa nao wenyewe. Hata kura zisipotosha,zitatosha. Lakini,ujumbe utakuwa umeshatumwa kwa wakuu.
Karibuni Dodoma makada tutume ujumbe chamani mwetu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)