Jukwaa la kuwanadi wagombea urais

Jukwaa la kuwanadi wagombea urais

Tunahiji kiongozi mwenye maamuz magumu ili kuiweka sawa nchi hii na simwingine bali ni Luwasa,hatutaki kiongozi wa kukulupaka bila Rowasa maji kutolewa z.victori kwends Shy na kwingineko,
 
Kwa kweli ikatokea Mtanzania mwenye akili timamu akachagua CCM mwaka huu huyo atakuwa amelaaniwa na mungu. Tokea Kikwete ameingia madarakani ni shida tupu. Kikwete amekuwa Rais watoto na ndugu zetu Albino wamechinjwa kama kuku. Hivi huyu baba atasimama kweli na kujisifu CCM itashida. Si ndio atatumalizia mpaka wamama wajawazito sasa.

Mh yaani albino wakiuliwa kosa ni la rais 😳😳😳 anyway Mh Msigwa alisema mtu atakaye mnadi Lowassa mwaka huu Akapimwe akili so kuanzia Mh Mbowe hadi wafuasi wa ukawa mnainadi Lowassa mmepimwa akili??? Mm naona Dr Slaa na Prof Lipumba wamejipima wakaona wana akili ndio maana wameamua kukaa pembeni wamebaki mazombie ...... Jana mkaonyesha kuku mkaambiwa nyoka mkakubali leo mnaonyeshwa kuku huyo huyo mnaambiwa ni sungura mnakubali hhhhhhh
 
Dr John Pombe Maghufuli, mgombea urais kupitia CCM ni mgombea mwenye haiba ya
kipekee kati ya wagombea wote katika uchaguzi mkuu Wa 2015, uwezo wake Wa
kiuongozi umeanza muda mrefu kwa kujipambanua kila wizara anayopewa kuiongoza
tangu aingie kwenye siasa 1995
Ni mwanasayansi nguli aliyeleta mapinduzi ya kujenga barabara toka tupate uhuru
Ni mwanasiasa alieingia kwenye rekodi ya CCM kwa kushinda kura nyingi kwenye
Mkutano Mkuu,
Ni mwanasiasa mwenye Akili nyingi za kuzaliwa (genius) , hii limethibitishwa pia na
kipindi maalum cha historia yake kilichorushwa na ITV siku ya jumatano saa 3:15
Usiku
Ni mzalendo Wa kweli asiyetiliwa shaka na uadilifu wake ni grade A
Ni kiongozi mwenye kuthubutu na kusimamia anachokiamini, na ni kiongozi mwenye
muono Wa mbali
Ni kiongozi atakaeingia kwenye historia ya kuitoa Tanzania kutoka nchi ya kundi
maskini kwenda uchumi Wa kati na kuingia katika nchi tajiri Afrika
Ni kiongoz anaependwa kukumbukwa kwa mazuri aliyofanya na atafanya hivyo
Ni kipenzi cha Watanzania wengi na kawekeza kwenye mioyo ya watanzania
kumkubali sana katika uchapakazi wake
 
Humu wasiojulikana wengi pia multiple ID hivyo utasumbuka bure ila Rais n Maghufuli
 
lowasa anasifa kubwa na mchango mkubwa kwa taifa
ktk kipindi kifupi alichokuwa wazir mkuu shule za kata zilijengwa kwa kasi tena bila kuwabugudhi watanzania,ndan ya huo mda mfupi alijenga chuo kikuu ambacho mpaka xaxa wengi humu mnapumua kwa xababu ya elimu mlopata toka udom
sijasahau mambo ambayo alizushiwa,wakati akiwa wazir mkuu alisingiziwa kuwa amelisababishia taifa hasa kwa kuingia mkataba na kampuni feki ya RICHIMOND akarazimishwa akajiuzuru lakin wiz na ufisadi akaendelea tena ulio leta hasara zaid ya ile walosingizia lowasa xaxa swali la kujiuliza,je lowasa ndo fisadi au serikali?majibu mnayo
kwa upande wangu nasema ningejuwa na mamlaka ningetoa hukumu ya kunyongwa kwa rais wa hii nchi ya ahadi inayoitwa inchi ya maziwa na asali ambayo imesababisha hasara kwa taifa la tanzania,hii nchi ya ahadi inakwapua mali za tz na kujifanya tajiri huku taifa lenye izo mali likibaki masikin,waoneeni uruma watanzania enyi mliowaroho na wabinafsi,mmeuza mpaka maziwa watz wasijefahamu ladha ya samaki,
 
Chieeeee! Kila mtu lowasa basi na mm lowasa.CCM peleka dampo kwa moromboo
 
Back
Top Bottom