Mpaka sasa wagombea wenye nguvu ya kutwaa Urais in Edward Lowasa au John Magufuli.Wote wawili wanawafuasi wao.Sasa kila anayehisi mgombea wake ndiye atakayeshinda kiti cha urais,umnadi hapa.Woye wamekuwa serikalini kwa muda mrefu.Elezea amefanya nini kilicholetea Taifa faida au maendeleo,kipi alichofanya kikaletea Taifa hasara na kwa kiasi gani.Nini matarajip yako.Je ni point ipi ya msingi inayotushawishi tumpe kura?Katika kumnadi andika jina la mgombea wako,jibu hoja kwa hoja,epuka siasa za maji ya mtaro.