Jukumu la Wafungwa ni Kuteseka,Wakitoka wasirudie tena.

Hivi sheria za wafungwa zukoje manake mkuu anasema wafungwa waliofungwa vifungo vya mda mrefu sana hakuna kukaa tu wapewe kazi mpaka mpaka wakione, na vipi wale wa maisha
 
Hivi sheria za wafungwa zukoje manake mkuu anasema wafungwa waliofungwa vifungo vya mda mrefu sana hakuna kukaa tu wapewe kazi mpaka mpaka wakione, na vipi wale wa maisha
Halafu Utakuta kati ya hao wanaupewa hayo mateso hadi Mikono kuchanika .wengi walifungwa Bila hati.
 
Wataalamu wa sheria tujuzeni kuhusu wafungwa wa muda mrefu, mfupi na kifungo cha maisha.Je wote hawa wanatakiwa kutoka nje kwenda kufanya kazi ili wasionekane wanakula bure jasho la serikali?
 
Uvccm bado hawajawekewa bando waje mapovu yawatoke maana wao hata ujinga wanatetea ili mradi waingiziwe buku 7 yao tu
 
Back
Top Bottom