Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Sio kama nasifia.. ila nimefurahishwa na ziara yake ya kimyakimya bongo. Baada ya show kali na kucheki vuvuzelaz South Africa, akenda kuona maendeleo ya kampeni zake huko kwetu Uyui-Mbola Village!!
Mungu amrudishie panye jema alotenda!! BIG UP!!
NB: Nimependa alivokuja bila mbwembwe na bashasha...!!
hebu iangalieni hiyo wadau
Back from Africa! | The Official John Legend Site
Mungu amrudishie panye jema alotenda!! BIG UP!!
NB: Nimependa alivokuja bila mbwembwe na bashasha...!!
hebu iangalieni hiyo wadau
Back from Africa! | The Official John Legend Site