Utani kwenye ugonjwa. Hapa nikikuigiza The Boss is sick seriously na kweli unaumwa utajisikiage.Hakuna eliedhalilishwa
Comedy huwa anataniwa yoyote hata Malkia na Mfalme...
Watanie kule chato tuoneHakuna eliedhalilishwa
Comedy huwa anataniwa yoyote hata Malkia na Mfalme...
Mradi alietaniwa alikuwa hai hai ilikuwa haki yake kutaniwa..
Haimaanishi walitaka age au walifurahia kifo chake....tuache ushamba
Ile huoni kama ilikuwa kiki?Ilikuwa kazi ya sanaa tu. Ndio maana hata jiwe aliwahi kuigizwa akitoa hesabu ya jumla ya samaki na dagaa mchele kwenye maziwa na madimbwi yote Tanzania.
Hata mimj ningekutana nao kama wameniigiza nawakimbismza mbayaNakumbuka walimuigizaga mtu mmoja hivi nimesahau, alovyokutana na Joti alikimbia hatariau ile ya marehemu Komba japo mwenyewe alikasirika
Njaa ziliwasumbua sana, ila sasa wanajiona wako matawi ipo siku watakuwa kama hao waliokuwa wanawadhalilisha!
ulipotea sana!! Kwema?Utani kwenye ugonjwa. Hapa nikikuigiza The Boss is sick seriously na kweli unaumwa utajisikiage.
Unakumbuka walivyomuigiza mzee wa kiraracha, while kweli anaugua sukari.
Walipitiliza ila.
Mbona Rais alipoigizwa tu simple na Idris sultan angalia kilichotokea. Si Idris msaniiIlikuwa kazi ya sanaa tu. Ndio maana hata jiwe aliwahi kuigizwa akitoa hesabu ya jumla ya samaki na dagaa mchele kwenye maziwa na madimbwi yote Tanzania.