Muafrika akishakuwa na uhakika wa maisha watu wengine wote anawaona wapumbavu tu!
Joti amekula mpaka amevimbiwa nyumbani kwake kuna standby generator umeme wa tanesco ukikata umeme kwake anawasha generator.
Kwa kifupi hana shida yoyote kwa io anavyoona chadema wanaandamana anawaona km wapumbavu.
Sent from my SM-A013G using
JamiiForums mobile app