mbona aliongea juzi kati hadi naibu spika akasema hivi'' mh nassari unaongewa kwa sauti ya juu sana kana kawamba unapigana au unagombana na mtu, jamana waheshimiwa wabunge tuongee kwa sauti ya kawaida na hoja zetu zitasikika''
katika kujibu nassari alimjibu hivi '' hii ndio sauti yangu na ndivyo ilivyo ni sauti iliyojaa hekima na mamlaka, inafundisha, inakemea pia''
naibu spika akamwambia basi endelea......nadhani mkuu session ile ilikupita ,ilikuwa wiki ya kwanza ya kujadili bajeti ya serikali iliyowasilishwa na mgimwa