Joseph Msukuma amkimbia Alphonce Mawazo ITV

Joseph Msukuma amkimbia Alphonce Mawazo ITV

Ccm haina viongozi wenye maono,hawako tayari kukumbana na mawazo kinzani,wameingia serikalini au kwenye chama kwa lengo la maslahi.
Hawawezi kujenga hoja,sana sana watatoa vitisho,na kusena watakuitia polisi.Msukuma anajua angeumbuka maana anajua hadi kupata cheo hicho alikipataje

lazima mzee wa CHATO angewekwa hadharani nadhani aliambiwa usithubutu kukanyaga huko
 
CCM imebaki kama gofu!!!walioko ndani ni popo na bundi ambao wote hutoka usiku!!!!

Ndiyo mawazo yenu BAVICHA, unakadigirii kamoja usumbufu mtu wakati huwezi hata kukatumia kukupa chakula cha mchana kazi kuomba hutaki kazi , kijana jitambue , fanya kazi ndio msingi wa maendeleo
 
Kama Mwenyekiti wao wa TAIFA ndio nambari one kukimbia midaharo sembuse huyo Mwenyekiti wa MKOA.

Midaharo ya kufikirisha akili ni sumu ya wana-CCM.

Kimbia midaharo utaonekana una busara nyingi sana CCM.
 
Nikweli anajua kusoma na kuandika tusimchafue kwa hilo, ila unajua kuwa sehemu ya mali aliyonayo ni ya mzee wa CHATO?

Kwan ana mali gani huyu jamaa? I know of him kdg alishawahi kuwepo mitaa ya Korogwe. Hana hadhi ya kujadiliwa humu ni mweupe kupita kiasi.
 
Kwani hawa viongozi wa CHADEMA wanaojua kujenga hoja, nini ambacho wanaweza kujivunia kuwa wamefanya kwa wapiga kura toka majimbo wanayoongoza?
 
Chama chetu ili uwe kiongozi siyo lazima uwe mjenga hoja,bali uwe kada wa kujipendekeza kwa wakubwa,mwenye pesa nyingi za ufisadi na unawachukia watanzania wanaopenda mageuzi.Mambo ya hoja na usomi kwetu yamepitwa na wakati.

watu wanamna hiyo kaka mimi huwaita MASHOGA,,, ambao siku zote wakiona mabasha zao huishiwa nguvu yaani kama mbwa kwa chatu vile... VIJANA NAMNA HII NI HATARI KWA TAIFA.... Kwani kama wako tayari kuuza utu wao kwa ajili ya matumbo je kuhusu taifa lao...
 
Ndiyo mawazo yenu BAVICHA, unakadigirii kamoja usumbufu mtu wakati huwezi hata kukatumia kukupa chakula cha mchana kazi kuomba hutaki kazi , kijana jitambue , fanya kazi ndio msingi wa maendeleo

Unamaanisha hawa panya wanaoshinda hapa wakitegemea hisani ya buku7 toka kwa nape? Umesomeka mkuu
 
Back
Top Bottom