Mhere Mwita
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 235
- 1,275
Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Geita bw Joseph Msukuma amemkimbia kamanda Alphonce Mawazo Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa wa Geita katika kipindi cha Mzalendo kinachorushwa na stesheni ya ITV Leo tarehe 18/09/2014 saa 1:30.
Kutokana na uwezo mdogo wa kujenga hoja wa mwenyekiti huyo ameamua kutoa taarifa ya udhuru baada ya kusikia atakuwa na Alphonce Mawazo kwenye kipindi.
Kwa hili linaonyesha kuwa CCM kuwa na viongozi ambao wana uwezo wa kujenga hoja kwenye vipindi mbalimbali na midaaro kama utakummbuka uchaguzi wa mwaka 2010 ambapo viongozi wa CCM walikatazwa kuingia kwenye midaharo na aliekuwa katibu mkuu bw Yusuph Makamba baada ya kuona uwezo mdogo wa wanaccm waliogombea ubunge wakati ule.
Kutokana na hali hiyo imelazimika waandishi wa habari kumtafuta mwenyekiti wa CUF mkoa wa Dar es salaam kuchukua nafasi ya msukuma.
Naomba kuwasilisha hoja.
Kutokana na uwezo mdogo wa kujenga hoja wa mwenyekiti huyo ameamua kutoa taarifa ya udhuru baada ya kusikia atakuwa na Alphonce Mawazo kwenye kipindi.
Kwa hili linaonyesha kuwa CCM kuwa na viongozi ambao wana uwezo wa kujenga hoja kwenye vipindi mbalimbali na midaaro kama utakummbuka uchaguzi wa mwaka 2010 ambapo viongozi wa CCM walikatazwa kuingia kwenye midaharo na aliekuwa katibu mkuu bw Yusuph Makamba baada ya kuona uwezo mdogo wa wanaccm waliogombea ubunge wakati ule.
Kutokana na hali hiyo imelazimika waandishi wa habari kumtafuta mwenyekiti wa CUF mkoa wa Dar es salaam kuchukua nafasi ya msukuma.
Naomba kuwasilisha hoja.