Joseph Mbilinyi (SUGU) MB afanya kweli Mbeya Mjini


Mkuu dont oversimplify mambo , na hakuna kiongozi wa kisiasa duniani aliyejenga miundombinu toka mfukoni kwake.

Hivyo nakushauri umjenge tu kama unavodhamiria nd Sugu na mimi si mmoja wa kumtaka alete mshahara wake kujenga miundo mbinu, thats too shallow.

Ninachomlaumu Sugu na viongozi wenzake Mbeya ni lack of vision of the future city.
Matatizo tunayoyaona leo ni lack of planning hiyo hiyo na ndio maana kuna viongozi, tena wakubwa tu wanadiriki kuita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Hivi tuahitaji wafadhili kutengeza Master Plan?
Tunahitaji mfadhili kutuambia nyumba za TOPE doesent comprise to make a city?
Tunahitaji mfadhili kututolea kutuondolea machinga barabarani?
Tunahitaji mfadhili kutengeneza traffic control na separation kwa local na international traffic?

Na hapo ndio nasema kama haya hayawezi kutatuliwa uwakilishi wa kishkaji kama wa Sugu na viongozi wengine jijini Mbeya ni wa ubabaishaji.

Inabidi tujiulize kama Mwanza, Moshi,Arusha wameweza kwa kutumia utaalam uliopo nchini, Mbeya wanashindwa nini?

Kama mkazi na mwenyeji wa Mbeya nitaendelea kulaumu miango na ushabiki usio na tija ili ingalau Mbeya ibadilike.
 

unaleta nukuu za bangi?????? bangi ni bangi tuuu nandio maana anaungwa mkono na wavuta bangi wenzake
 
wakati mwingine usibishane na washamba maana bora kukosa elimu kuliko ushamba.
 

Mbona Karoleni pana nyumba za tope za kutosha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…