Mhe.Msukuma, Kiongozi wa Wabunge Wasomi wa Darasa la Saba, Mbunge Swahiba wa Hayati. Mzeee wa kulipua maVXR V8. Tunasubiri kauli yako kama itakuwa ile ya U-turn au itakuwa ya kufuta hizi kauli za kinafiki.
Tumemsikia Ndugai kapiga bonge la Uturn kwenye Bagamoyo Port, Tumemsikia Herr James kapiga norinda ya maaana, Tumemsikia Prof. Muhongo anataka tufukie Mradi wa Stinglers, Tumemsikia Babu Wasira anasema kwa sasa Ana FURAHA, Tumemsikia Assad, Tumemsikia Kaka yangu KICHERE ndege za ATCL nk.
Kigwangala, Zitto, Riz One, Makamba, Nape woooote wameonyesha kile kilichokuwa VIFFUANI MWAO kwa miaka 6 mfululizo.
Kwa sasa tunasubiri kauli ya Mbunge yupi atakuja kibabe kutetea Utendajikazi wa Hayati kwa maaana Kauli ambayo siyo ya Kinafiki.
Jibu linakuja kwamba TUNASUBIRI Mhe.Msukuma achane mkeka, awachane Wanafiki woooote. Mhe.Msukuma tunajua wewe unafiki mwiko kwakoooo.
Hebu wananzengo tubet hapa, Kama siyo Mhe.Msukuma ni Mbunge gani unategemea achane mkeka, tujadili
Tumemsikia Ndugai kapiga bonge la Uturn kwenye Bagamoyo Port, Tumemsikia Herr James kapiga norinda ya maaana, Tumemsikia Prof. Muhongo anataka tufukie Mradi wa Stinglers, Tumemsikia Babu Wasira anasema kwa sasa Ana FURAHA, Tumemsikia Assad, Tumemsikia Kaka yangu KICHERE ndege za ATCL nk.
Kigwangala, Zitto, Riz One, Makamba, Nape woooote wameonyesha kile kilichokuwa VIFFUANI MWAO kwa miaka 6 mfululizo.
Kwa sasa tunasubiri kauli ya Mbunge yupi atakuja kibabe kutetea Utendajikazi wa Hayati kwa maaana Kauli ambayo siyo ya Kinafiki.
Jibu linakuja kwamba TUNASUBIRI Mhe.Msukuma achane mkeka, awachane Wanafiki woooote. Mhe.Msukuma tunajua wewe unafiki mwiko kwakoooo.
Hebu wananzengo tubet hapa, Kama siyo Mhe.Msukuma ni Mbunge gani unategemea achane mkeka, tujadili