Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Mkongwe ambaye hapewi heshima anayostahili. Jamaa ana sick unique tecniques za kuandika na kuchana, hata maneno mengi anayotumia kwenye ngoma ni ya kwake peke yake. Yeye mwenyewe ni shabiki namba moja wa muziki wake, ndio maana anafanya anavyopenda na sijawahi kuskia amekosea. Halafu ana beats zake anaweza kwenda nazo peke yake tu, kwa bahati mbaya bado hajapata muongozaji anayeelewa styles zake kwa upande wa video.
Usipomskiliza kwa makini unaweza usimuelewe anaongelea nini, ila ametulia sana kichwani.
"Maadui pande zote, what!?..wanna stop me?/ Namtukana shetani ile mbaya, wanna sue me!?/
only God can judge me, wewe ndio nani?....(nothing)/"
Hii ngoma (Nothing) nimeigundua last weekend, imestuck kwenye replay kila napopata nafasi ya kuskiliza muziki, hizo hypes...noma sana. Respect kwa Jos', hatuna mwingine kama yeye.
https://www.youtube.com/watch?v=1N8qLyiMaV4