Joke: Mfano likapinduka, CCM watasema nini?

According to waganga wa kienyeji, wanavyokufa wengi ndio mafanikio yanakua makubwa zaidi.
 
Jitu la miraba minne jitu mwitu msitu, rijali matata 😁
Wapo wamama wa Kikurya na wakichaga mijitu imeenda hewani mwili miraba minne.

Lakini wake za watu, rijali wa kike wakiwa na waume zao.

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Ila ukizinguana naye anakufinyanga mfano wa godoro la watoto wa shule la futi 2. Utajuta kuoa mwili jumba.
 
Naona mleta mada wamemla kichwa.

"Kuna wenzetu walikodi usafiri binafsi kwa mapenzi yao kwa chama na wagombea ili kushiriki nasi,bahati mbaya wakapata ajali isiyo na madhara" πŸ˜‚
 

Attachments

  • markup_1000672422.png
    320.7 KB · Views: 18
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…