SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Katibu Mkuu wa UVCCM Mheshimiwa Dr Jokate Urban Mwegelo anastahili kutuwakilisha Vijana pale Mjengoni. Kulikon hajachukua Fomu?
Si kila mtu anafaa kuwa mbungeKatibu Mkuu wa UVCCM Mheshimiwa Dr Jokate Urban Mwegelo anastahili kutuwakilisha Vijana pale Mjengoni. Kulikon hajachukua Fomu?
Sabaya na Mwijaku wamechukua, watawawakilisha.Katibu Mkuu wa UVCCM Mheshimiwa Dr Jokate Urban Mwegelo anastahili kutuwakilisha Vijana pale Mjengoni. Kulikon hajachukua Fomu?
Atakuwa anamtafutia ubunge wa kuteuliwa,Yeye ajaona hivyo, wewe ndo umeona?
Nashangaa hajachukua fomu ,itabidi Rais aje amteue Kwa nafasi zakeKatibu Mkuu wa UVCCM Mheshimiwa Dr Jokate Urban Mwegelo anastahili kutuwakilisha Vijana pale Mjengoni. Kulikon hajachukua Fomu?
Usisahau analea kwa sasa. Pia Vunjabei kampotezea malengo yakeBinafsi Jocate ktk nyakati zake za U DC nilipenda sana uwajibikaji wake lkn baada ya kuanza kushika nyadhifa za kitaaifa, utendaji uliota mbawa na kilichobakia ni uchawa tu kwa kwenda mbele,
SIWEZI KUMPIGIA KURA
Kwenye nchi ambayo Babu Tale ni mbunge why Jokate Mwegelo asiwe?Si kila mtu anafaa kuwa mbunge
Taletale mitano tenaKwenye nchi ambayo Babu Tale ni mbunge why Jokate Mwegelo asiwe?
nyadhifa za kitaifa ni zipi alizoshika mkuu.Binafsi Jocate ktk nyakati zake za U DC nilipenda sana uwajibikaji wake lkn baada ya kuanza kushika nyadhifa za kitaaifa, utendaji uliota mbawa na kilichobakia ni uchawa tu kwa kwenda mbele,
SIWEZI KUMPIGIA KURA
Huko uvccm km sio uwtnyadhifa za kitaifa ni zipi alizoshika mkuu.
Ndiyo nyadhifa ya kitaifa zaidi ya kuwa DC?Huko uvccm km sio uwt
Ngoja utajibiwa na aliyetaka majibu,Ndiyo nyadhifa ya kitaifa zaidi ya kuwa DC?