issa maneno
Member
- Aug 19, 2015
- 40
- 0
wana jf kwa yeyote anaifaham kimamba sec iliyopo morogoro, mimi nimechaguliwa katika shule iyo
Vitu vingine siku hizi ni rahisi sana, google tu utaipataAnae jua shuleya kimamba ilipo anisaidie maana hta selewi
Daaaaa ni kweli sema ni jau jau 2Vitu vingine siku hizi ni rahisi sana, google tu utaipata
Vp mkuu hujapata???Ndugu zangu mwenye Joining Instructions za Kimamba Secondary iliyopo mkoani Morogoro pamoja na Karatu High School iliyopo Arusha anisaidie kunitumia kwa mussamiddy@gmail.com
Vp Kaka hujapata????nataka kufaham mazingira ya shule pia kama kuna mtu mwenye namba ya mwalimu yeyote katika shule iyo kwani hadi sasa sijapata join instruction
Hadi mm bro nimechaguliwa huko pcb sema hata celewiwana jf kwa yeyote anaifaham kimamba sec iliyopo morogoro, mimi nimechaguliwa katika shule iyo
wana jf kwa yeyote anaifaham kimamba sec iliyopo morogoro, mimi nimechaguliwa katika shule iyo
*Hizi Hapa Joining instructions Za kujiunga Na kidato Cha Tano Shule zote Tanzania Bara*




Form Five Joining Instructions 2020 Tanzania - Global Info
*Kama hukuona Selections Bofya hapa kuangalia kirahisi*




Form Five Selection 2020 Selection za Kidato Cha Tano 2020 - Global Info






Kuna link nilitumiwa Jana japo joining za last year but nahisi zinasaidia kupredict mahitaji ya mwanafunzi*Hizi Hapa Joining instructions Za kujiunga Na kidato Cha Tano Shule zote Tanzania Bara*
Form Five Joining Instructions 2020 Tanzania - Global Info
*Kama hukuona Selections Bofya hapa kuangalia kirahisi*
Form Five Selection 2020 Selection za Kidato Cha Tano 2020 - Global Info
*Sharing is caring*
![]()
Kijana umepata joining instruction?Anae jua shuleya kimamba ilipo anisaidie maana hta selewi
Naomba namba ya mwalimu mmojawapo pale, maana mpaka sasa hakuna aliyetuma joining instructions.Kijana umepata joining instruction?
Karibu kimamba sec.! Niko pale form 5!