John Tendwa kwenye dk45 ITV


Tendwa ama anaugua amnesia au ni msanii wa viwango vya kipekee. Mara kadhaa amenukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa maandamano ni haki ya msingi wa vyama vya siasa. Sasa anatishia nini hapa? Nani kamtuma Tendwa kutishia watu? Na ubavu gani huyu babu kama si kujependekeza?
Na kama kweli ni mwanaume afute 'hicho' chama, afute tuone!
 
Hamna jipya.yupo kimagamba zaidi nimemfuatilia mpaka mwisho mambo machache sn kayaweka sawa lakini maandamano ya chadema kachemka.anaonyesha kabisg anavutia upande fulani.nahic atakua analinda kibarua chake
 
Hiki kipindi hakina msisimko kwa sababu ya maswali anayouliza muongozaji, hawezi kuuliza maswali chokonozi,abadilishwe!
 
<br />
<br />
Mkuu,
huyu mzee ni msanii sana, tena muhuni na ni sharobaro wa kufa mtu.

Binafsi nimeshindwa kuelewa ameenda studio kama msajili wa vyama vya siasa, au kama msajili wa wanachama wa ccm?
 
Nani asiyemjua tendwa, huyo ni mteule wa ccm lazima alinde maslahi ya chama na kwa kuwa maandamano ya chadema yanatishia uhai wa chama chake lazima ayaponde.
 
Wakuu huku kwetu umeme imekua bidhaa adimu tangia tumng'oe mramba kwahiyo mtujuze anachosungumzia
<br />
<br />
tena selasini aliongelea hiyo ishu kwa machungu sana. Vuteni subira
 
Kaulizwa swali kwanini vyama vya upinzani vikiandamana ndio waopigwa na kuonekana wabaya lakini ccm wanapata baraka zote eti anajibu ccm wanafuata utaratibu nimemshangaa sana nikaamini magamba wameiteka nchii


<br />
<br />
nlizan ni mi2 kumbe nawe umemuona furuu kiCCM mpk nachefuka roho
 
Kama ccm wanafuata taratibu tusubiri ya igunga
 
Maneno ambayo amezungumza sikumshangaa.huyo ni mwana CCM. Usishangae ukisikia 2015 anachukua fomu kugombea ubunge kupitia CCM hata kama umri umemtupa mkono. Huyo mtangazaji hana uwezo wa kuendesha hicho kipindi ama atakua anayo maelekezo maalumu toka kwa mwenye tv stesheni asiulize maswali magumu,si unajua naye ni mwana magamba!
 
Jamani yale ya nape sio kampeni za uchaguzi? Huyu tendwa katendwa na ccm "robotized" change will come. Mzee anaongea yale aliotumwa na mwanasheria wao. Hivi inakuaje wewe uliyetedwa unavutia upande wa uongozi wa mafisadi wananchi tunakuelewaje? Mtendwa umeteleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…