John Tendwa ikowapi damu waliyoahidi washiri??

bibikuku

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2011
Posts
832
Reaction score
496
Baada ya matokeo ya uchaguzi Arumeru kuthibitisha kuwa Chadema ndio chaguo halisi la wananchi, tukumbuke kauli zenye utata zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya MAWAKALA WA CCM

John Tendwa msajili wa vyama vya siasa alimuonya kamanda Lema asifike Arumeru kwakuwa damu itamwagika kwa mujibu wa washiri. John Tendwa sasa aitishe press conference na atuambie je atawafanya nini wale waliomdanganya na hivyo yeye kuliongopea taifa??

Na kwa kauli yake hiyo ambayo haikutokea licha ya kamanda lema kuweka kambi Arumeru, kwanini Tendwa asijiuzulu?
 
Kabaki na aibu na usharu baro wake. Peopleeeeeees powerrr
 
 
CHADEMA wamfungulie kesi ili huyu mpumbavuasirudie tabia hii lema kila mkutano alikuwa anaenda alikuwa anpokelewa kama mfalme hata alipoenda nyumbani kwao na SIOI Sumari alifunika mbovu kabisa
 
Tendwa huwa anajikakamua kulinda kibarua chake kwa kujipendekeza kwa magammba
 
Tendwa is another kibaraka, aangalie na asome alama za nyakati kama anataka kuwa na safe future atende haki kwa vyama vyote asijifanye mlezi wa CCM tutamfunga 2015 tukichukua nchi
 
nilipenda sana kwa kumuona lema pembeni kabisa mwa msimamizi wa uchaguzi arumeru,yani kama vile lema alikuwa msaidizi wa msimamizi. aibu kwa j.Tendwa,kwa ujinga wa washiri wake ameonekana kilaza na washiri wa ukweli wako na lema. Asante Lema na cdm nzima.
 
Hawa viongozi wa jadi ni "WASHILI".

Ukiwaita "WASHIRI" inaweza kumaanisha ni wale Waarabu wa huko Yemeni.
 
Reactions: FJM
P p p p p had nashndwa kutamka coz saut imegoma n ful ba ta haya tayari imekuja sasa!,haya 1 2 3 pi pi pi ni tamu kama pipi,naanza pi poz pawa ni nouma,magamba mpo!!?,kumbe nmegundua magamba yanapokuwepo utawalani yanatunyma raha!,oya waitress leta kama tulvyo!,yan nchi yan tz nzma inakula bata kumbe watu wamechoshwa na magamba.Magamba kwisha habari zenyu.Wapi rejao wap ritz wap dr kuneng'e,wap nnauye jr wap mwigulu nchemba?.Mmejibebaje kwa khanga au mbeleko?Mtakoma.Leta tena tena tena,lucy.Nde meza mate tena tena...Pipoz pawa ni baraaa
 
Hawa viongozi wa jadi ni "WASHILI".

Ukiwaita "WASHIRI" inaweza kumaanisha ni wale Waarabu wa huko Yemeni.

Asante kwa marekebisho ya lugha Mzee Mtei, natumahi mwenendo wa chama unakupa faraja. Chadema kitashika dola!
 
Tendwa ni sawa na mtu aliye kwenye concert anaimbishwa tu wimbo na mwimbishaji hata kama wimbo wenyewe hauna ladha,
 
Kama Tendwa alikuwa na an ounce of decency in him angeachia ngazi mara moja. Kitendo chake cha kuingilia uchaguzi wa Arumeru Mashariki hakikubaliki kabisa. Huwezi kuwa na imani na mtu anayeongoza kwa kuegemea upande mmoja.
 
That statement was from a man living in a world of his own (the unreal in a real world). Scaremongering rarely works for people who know what they want
 

Mind you Captain Lema was a big Threat to CCM during the campaign.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…