technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,555
- 57,850
Kama ujaelewa pita!!Nani kukutana na nani?
Mkuu mnakumbuka zitto, slaa je ?? Hawa watu walitukanwa kweli kweli na kuitwa wasaliti!!Naunga mkono hoja yako mtoa mada.
Kamanda JJ Mnyika yuko Arusha Mahakama ya Africa Mashariki na John Mallya wakifungua kesi dhidi ya serikali kwa ubinywaji wa demokrasia nchini. Au unasemaje we kiraza?
Tuwe wote mpaka 2020 usije kimbia huu uziKamanda JJ Mnyika yuko Arusha Mahakama ya Africa Mashariki na John Mallya wakifungua kesi dhidi ya serikali kwa ubinywaji wa demokrasia nchini. Au unasemaje we kiraza?
Kamanda JJ Mnyika yuko Arusha Mahakama ya Africa Mashariki na John Mallya wakifungua kesi dhidi ya serikali kwa ubinywaji wa demokrasia nchini. Au unasemaje we kiraza?
MaigizoKesi ya ICC kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais wa Magufuli imefikia wapi?