John Mnyika, mbunge wa CHADEMA amefika London

John Mnyika, mbunge wa CHADEMA amefika London

andrews

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2012
Posts
1,679
Reaction score
152
get-attachment.aspx
 
na yeye akapige picha mbele ya chopa halafu akaombe ambulance used kwa wabongo walio jichokea. Na chris mlisha mtibua sasa sijui nani atawasafirishia bure hayo makopo yenu .
 
na yeye akapige picha mbele ya chopa halafu akaombe ambulance used kwa wabongo walio jichokea. Na chris mlisha mtibua sasa sijui nani atawasafirishia bure hayo makopo yenu .
HAHAHAHAHAAAAA
Mkuu unawapa za uso jamaa asubuhi yote hii.
 
na yeye akapige picha mbele ya chopa halafu akaombe ambulance used kwa wabongo walio jichokea. Na chris mlisha mtibua sasa sijui nani atawasafirishia bure hayo makopo yenu .

mkuu usiseme lukosi tulimtibua..no tulimtimua yaani tulimfukuza na kwa taarifa yako lukosi hatumi mizigo ya mtu au watu bure yeye mwenyewe ni mwajiriwa
 
na yeye akapige picha mbele ya chopa halafu akaombe ambulance used kwa wabongo walio jichokea. Na chris mlisha mtibua sasa sijui nani atawasafirishia bure hayo makopo yenu .

Afadhali ya kupiga picha na chopa kuliko kupiga picha na 50 cent na Bechkham..chizi yupi hapo sasa?
 
Hivi kumbe john mnyika hakwenda JKT?
 
Hivi kumbe john mnyika hakwenda JKT?

Jkt sio kitu ndogo bro. inabidi uwe fit kweli.
Anyway nisimlaumu sana kwa sababu huwezi kwenda jeshini kama una sababu za kiafya.
 
Back
Top Bottom