HabariChademamara
Senior Member
- Apr 6, 2015
- 113
- 91
Kamanda John Mnyika naibu Katibu mkuu Chadema taifa siku ya kesho tafanya mkutano katika uwanja mkendo.muda kwanzia SAA 7 mchana.pia mida ya saa 3 asubuhi atafunguwa kikaoo cha mafunzo kwa viongozi wa Chadema Mkoa wa mara. Katika ukumbi wa MCC..