[/COLOR]Kutaka ubunge sio Kosa tatizo ni mbinu gani unazotumia kupata huo ubunge kutoa misaada na kutetea MASLAHI ni vitu viwili tofauti... Hapo kwenye red kumbe anatoa ili apate recognition? Ni bora asitoe tu maana ukitoa ili upate kitu Fulani duniani hupati thawabu kwa Mungu
Kwa vile keupe?
John mashaka wewe uko exposed sana hadi siasa za nje ya tanznaia unazijua.hivi kweli wewe leo ni wa kutoa misaaada ya juisi za 150 ili upate cheap popularity ?haaa bwana ebu fanya kwa utofauti kidogo bwana ubunge upo ongea na kina mnyika wakupe darsa how to do it .wewe sio wa ukweeeeeee umejihaibisha kwa post hiyo kwani najua ni ridhaa yako utolewe humu jamii forum.asante kwa kutuonyesha udhaifu wako
Umejuaje kama ana za kutosha kutumia kote kote?Hongera John Mashaka, Mungu akubariki kusaidia wahitaji. Kwa lengo lolote ulilonalo, Mungu anayeweza kuona sirini akujibu sawasawa na mapenzi yake kwako. Nimefurahi kuona kijana badala ya kutafuta sifa za kijinga bar na kumalizia hela kwa malaya,unawakumbuka wahitaji.
you seems to know better than me,kuna wabunge wanaogombea ubunge ili kupata UMAARUFU tu???? mmmmnh...na deal gani hizo ambazo ni tofauti na posho??? would you mind kuzitaja?????,....afu usiingize maswala ya dini humu vitabu vya dini vinakuhusu wewe na familia yako,una uhakikka gani yeye ana dini???........kupiga puicha kwa taarifa yako,ni aina ya kufikisha ujumbe kuna watu tumewasahau,wanahitaji suport yetu.na ulivyo na roho mbaya ummeona vijuice tu,kwanza wewe ushawahi kuvitoa???? FYI tembelea john mashaka foundation uone projects zake nyingi,mwenzio he is doing it for his society,wewe kaa hapo behind your computer na kupiga domo tu......
Umejuaje kama ana za kutosha kutumia kote kote?
Watu wengine bana, kama umeenda kutoa kwa moyo mipicha na attention za nini?
Hivi kumbe kuna wenye kuwaza na wenye kuwaziwa...?lol
This guy is a joker just like any other jokers i know, i wonder why all the screaming, grinning & shouting is all about. Kama katoa misaada for whatever reason it might be, good for him, at least he has done something tangible rather sitting and hiding behind ur office's PC while bitchin and farting at the same time.
Tena aanze kuigwa na wewe ili tupate mifano mingi zaidimfano wa kuigwa.
Hako katoto alikokapakata kazuri kweli. . .
Weupe ndio uzuri?
Who is this chap?
ndio shida ya serikali kuwekwa mfukoni na wafanya biashara,wamesababisha uongozi kuwa ni kazi inayolipa kuliko kazi zote unazozijua.
huyu hana lolote kwanza hiyo misaada kwake ni dili na bado anafukuzia ubunge kwani ndo ameona pa kutokea.
watanzania kwa kipindi hiki tuwaogope watu hawa kama ukoma.
cheap popularity for what,mbona yeye ni famous tayari.........unless umesikia kwa mdomo wake mwenyewe kuwa anataka ubunge,acha kumzushia kaka wa watu....mnasema juisi za 150 mbona hatuwaoni hata kutoa za shilingi kumi...........ingia/google john mashaka foundation uone mwenzio he is doing it be it for ubunge or not but he is doing it.....hamuwezi kuliziba jua na ungo au mwaweza atiii?? hahahah wa ukweeeeeeeeeeeeeeeeee.....