Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Ameandika Twaha Mwaipaya kupitia mitandao yake ya kijamii
Wambieni watu wetu
Mimi inajulikana kwa Mungu na malaika sina ubaya na nchi yangu naipenda Sana !
Kosa langu hata sasa ni kukataa kuwa msaliti wa mageuzi ili sote katika nchi tuishi utawala wa sheria na kulinda rasilimali zetu , ,
Hapa Jela kwangu ni kama wananipaka manukato Tu sitarudi nyuma kwa makosa ya kutungiwa
Wasiogope na kusononeka wakituona tunateswa
Mungu Yuko upande Wetu
Na vita nimemkabidhi yeye
Ushindi NI wake yeye
John Heche makamu mwenyekiti wa CHADEMA jela mtumba Dodoma
Siku ya tatu 26 Oct 2025
Pia soma
Mimi inajulikana kwa Mungu na malaika sina ubaya na nchi yangu naipenda Sana !
Kosa langu hata sasa ni kukataa kuwa msaliti wa mageuzi ili sote katika nchi tuishi utawala wa sheria na kulinda rasilimali zetu , ,
Hapa Jela kwangu ni kama wananipaka manukato Tu sitarudi nyuma kwa makosa ya kutungiwa
Wasiogope na kusononeka wakituona tunateswa
Mungu Yuko upande Wetu
Na vita nimemkabidhi yeye
Ushindi NI wake yeye
John Heche makamu mwenyekiti wa CHADEMA jela mtumba Dodoma
Siku ya tatu 26 Oct 2025
Pia soma