John Boko acha ulimbukeni

SPANISH CP

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
465
Reaction score
230
Wewe ni team captain wa Azam Fc nilikushangaa sana jana ulipokabidhiwa kombe ukaling'ang'ania utadhani lako hata wachezaji wenzako hutaki walibebe mpaka wakupore ndo uwape,jifunze kwa kuona wenzetu huko Ulaya wanafanyaje.
 
Mimi hadi alinikera,kuna haja ya kuwapa darasa wachezaji wetu how to celebrate! Maana yake jana niliona fujo tu.
 
Kwani Ni kombe lake la ngapi kubeba, maana mnaweza mkamlaumu buree huyo mburula
 
Maldini kabeba ndoo 5 za ulaya...
But hakuna msimu aling'ang'ania kombe na kuacha kumpa Riijkard, Ancelotti, Baresi, Van Barstern, Masaro, costacurta, Nesta, Pirlo, Pippo, Rui Costa, Cafu, Seedorf, Gatuso, Sheva na Dida...koh koh niendelee?

CC: juve2012 mourinho obwato gutierez alleyn
 

utakuwa yeboyebondala wewe mzee wa mafuriko,pole
 
Tatizo kapewa misifa sana kuwa kaitoa hiyo timu mbali sana...ndio maana anaona kama kombe lake, kikombe kitu gani bwana hata kwa mama muuza kinapatikana
 
Ndio mara ya Kwanza msimlaumu sana. Labda hata gerald anaweza kufanya hivyo liva wakichukua ndoo ya epl.
 
Wewe ni team captain wa Azam Fc nilikushangaa sana jana ulipokabidhiwa kombe ukaling'ang'ania utadhani lako hata wachezaji wenzako hutaki walibebe mpaka wakupore ndo uwape,jifunze kwa kuona wenzetu huko Ulaya wanafanyaje.

hilo ni la kwanza muwacheni msimu ujao hata ng'ang'ania tena sawa enheee...
 
Tatizo kapewa misifa sana kuwa kaitoa hiyo timu mbali sana...ndio maana anaona kama kombe lake, kikombe kitu gani bwana hata kwa mama muuza kinapatikana

wivu ni kidonda ukishiriki utakonda bure mamaa...
 
Tatizo kapewa misifa sana kuwa kaitoa hiyo timu mbali sana...ndio maana anaona kama kombe lake, kikombe kitu gani bwana hata kwa mama muuza kinapatikana

Buthurt Yanga fan
 
Tusimlaumu ni mara yake ya kwanza kuchukua VPL. hata wewe siku ya kwanza kuuuuuuu................. uling'ang'ania juu.
umepotea njia nenda jukwaa la MMU huku hakuna mambo hayo mjomba.
 
Bora mkuu na wewe uliliona hilo,hakutaka kabisa kuwapa na wenzie walibebe! Mpaka jamaa wakamwacha akimbienalo peke yake na mashabiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…