Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 844
Rapa mkali kutoka Weusi Joh Makini amewachana wanaoanzisha label hapa nchini kuwa wengi wao hawajui vigezo vya kumiliki label na badala yake wanazitumia label kama kiki katika muziki wao.
Maneno hayo ameyasema katika kipindi cha enewz.
Binafsi naona kabisa Dongo hili limelengwa kwa Alikiba coz nae ametangaza kuwa "eti" alikuwa na LEBO yake lakini alikuwa hapendi kuitangaza. mweeh..!
Hata hivyo Joh Makin amesema wapo katika mpango wa kuanzisha LEBO yao ya weusi ila hii yao itakuwa tofauti coz hawatajipiga promo kwamba wanasaidia Wasanii.
Baada ya Mafanikio makubwa waliyoyapata WCB kwa LEBO yao basi natabiri kuanza kurundikana kwa MALEBO kibao Bongo.
Nawasilisha
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]
Maneno hayo ameyasema katika kipindi cha enewz.
Binafsi naona kabisa Dongo hili limelengwa kwa Alikiba coz nae ametangaza kuwa "eti" alikuwa na LEBO yake lakini alikuwa hapendi kuitangaza. mweeh..!
Hata hivyo Joh Makin amesema wapo katika mpango wa kuanzisha LEBO yao ya weusi ila hii yao itakuwa tofauti coz hawatajipiga promo kwamba wanasaidia Wasanii.
Baada ya Mafanikio makubwa waliyoyapata WCB kwa LEBO yao basi natabiri kuanza kurundikana kwa MALEBO kibao Bongo.
Nawasilisha
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]