Jogoo hakuwika mjini

lol..roja roja unanisoma? enhee..'papa alfa juliet alfa' ndo mwake,, over,

afrmtv....copied that...kuna na 'kilo india uniform november oscar' nadhani utapenda...over and out
 
afrmtv....copied that...kuna na 'kilo india uniform november oscar' nadhani utapenda...over and out

roja roja...usitoke kwanza..eeh...ebu ngoja nicheki...nitaanzia hapo hapo....senks..over
 
Alikuandaa kabla ya shuguli? alikuwa msafi? hivi pia huwa vinachangia tukio kama hilo

Pls note: hata mwanaume anaadaliwa kabla ya shuguli.


ALikuwa msafi, siwezi kumlaumu kwani kila kitu chake kilikuwa bomba... lazima niseme ukweli tatizo lilikuwa upande wangu
 
Kumbe its you guys i saw kissing in that red car lol! the chic is paying if you noo wora amseying! Call her brother, call her, otherwise ndo atakuona si riziki kabsaa.

Kajibu message ila gari lenyewe sio red!!!!

Na true man the chick is paying, i noo wora yoseying
 
wacha weeee naoana kibena kitupu hapa!

Geoff upo wapi uje kunitafsiria!

nway kwa jamaa mwenye shida ya jogoo; ulikamia mno mashine wangu du!
 
Dah! Nilikuwa sijasoma humu. Kwani tangu mnakis hadi hotelini jogoo alikuwa hashtuki? Ila wakati mwingine ni hofu tu. Nxt time jipange na umpe doz asahau ya nyuma
 
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapii

Inaonyesha demu huyo sio mzuri sana au mzee ulifikiria swala la Ukimwi kwakuwa hukuwa na pembejeo mfukoni ukaamua kunywea gafla.
 
Fidel80 mbona pembejeo zilikuwepo (yaani sio moja). Lakini usijali, tumeanza mawasiliano na labda kesho nitapost "Jogoo kawika mjini"
 
Fidel80 mbona pembejeo zilikuwepo (yaani sio moja). Lakini usijali, tumeanza mawasiliano na labda kesho nitapost "Jogoo kawika mjini"

Vp mambo yetu ya kilaji unatumia au wewe mlokole?
 
Inaonyesha demu huyo sio mzuri sana au mzee ulifikiria swala la Ukimwi kwakuwa hukuwa na pembejeo mfukoni ukaamua kunywea gafla.


aah kumfukuza kuku mpaka umchinje kumbe ni kazi namna hii?!
 
ALikuwa msafi, siwezi kumlaumu kwani kila kitu chake kilikuwa bomba... lazima niseme ukweli tatizo lilikuwa upande wangu
Wewe ulipoteza confidence! Mara woga/hofu ikakutwanga kila sehemu. Ukawa baridi. Next time jiamini kwamba unaweza. Na utaweza!! pole bro.
 
Wewe sio Ngoswe! ndio maana ulishindwa, Ungekuwa Ngoswe usingeshindwa. Lakini kumbuka Ngoma ipo, inawezekana mzee kugoma amekusaidia!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…