Jogoo full version.

fundiaminy

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
355
51
Jogoo alianza kumkimbiza

kuku huku akilini mwake

akiwaza, "nikimpata

atakiona cha mtema kuni

lakini nikimkosa nitajifanya

natia zoezi." Kuku naye

akawa anawaza

"nikisimama nitaonekana

malaya, akanikosa nitalala

na nyege.



jogoo aliposhika kuku,kwa

fujo kamwambia huku

akirefusha bawa moja hadi

chini,na akitembe kama

amelewa kwa kuhema

"wataka kulala na nyege?

hii blanketi yote

utamaliza?"..kisha

akamdona!!.....kwa

kuishiwa na pumzi baada

ya kuhemeshwa-doo!

filimbi tu kupigwa jogoo

kawa amemaliza!!...kuku

naye kaamka akiongea

kichini-chini

"hmmh,muone.huku yua

jipiga kifua na ata sekunde

haishi....make-up yangu

yote kaharibu bure!"

katingisha mwili yote

nakaenda zake!
 
Jogoo alianza kumkimbiza
kuku huku akilini mwake
akiwaza, "nikimpata
atakiona cha mtema kuni
lakini nikimkosa nitajifanya
natia zoezi." Kuku naye
akawa anawaza
"nikisimama nitaonekana
malaya, akanikosa nitalala
na nyege.

jogoo aliposhika kuku,kwa
fujo kamwambia huku
akirefusha bawa moja hadi
chini,na akitembe kama
amelewa kwa kuhema
"wataka kulala na nyege?
hii blanketi yote
utamaliza?"..kisha
akamdona!!.....kwa
kuishiwa na pumzi baada
ya kuhemeshwa-doo!
filimbi tu kupigwa jogoo
kawa amemaliza!!...kuku
naye kaamka akiongea
kichini-chini
"hmmh,muone.huku yua
jipiga kifua na ata sekunde
haishi....make-up yangu
yote kaharibu bure!"
katingisha mwili yote
nakaenda zake!jogoo aliposhika kuku,kwa
fujo kamwambia huku
akirefusha bawa moja hadi
chini,na akitembe kama
amelewa kwa kuhema
"wataka kulala na nyege?
hii blanketi yote
utamaliza?"..kisha
akamdona!!.....kwa
kuishiwa na pumzi baada
ya kuhemeshwa-doo!
filimbi tu kupigwa jogoo
kawa amemaliza!!...kuku
naye kaamka akiongea
kichini-chini
"hmmh,muone.huku yua
jipiga kifua na ata sekunde
haishi....make-up yangu
yote kaharibu bure!"
katingisha mwili yote
nakaenda zake!

Jogoo siyo kuku?

Mi nilidhani wote ni kuku, jogoo jina tu kama alivyo "temba" a.k.a "mtetea"!
 
kombo jogoo sio kuku.jogoo jinsia kwaivyo ukiskia dada anakuambia kuku ni kuku jogoo ni jina jua kaku2si.ha ha ha.
 
kombo jogoo sio kuku.jogoo jinsia kwaivyo ukiskia dada anakuambia kuku ni kuku jogoo ni jina jua kaku2si.ha ha ha.

Kiswahili matata kweli, ok back to your post: umetumia maana ya ngapi ya jogoo vs kuku?
 
Kiswahili matata kweli, ok back to your post: umetumia maana ya ngapi ya jogoo vs kuku?

ebwanae naona utanrudisha kwa mwalim wangu wa fasihi simulizi.maana iliotumika ni moja ya tangu kuumbwa kwa viumbe.hivi kama kwel unaeza nijib kati ya kuku na jogoo nani anaetaga? Ama kwa urahisi kat ya mme na mke nani anaezaa?
 
Jogoo alianza kumkimbiza

kuku huku akilini mwake

akiwaza, "nikimpata

atakiona cha mtema kuni

lakini nikimkosa nitajifanya

natia zoezi." Kuku naye

akawa anawaza

"nikisimama nitaonekana

malaya, akanikosa nitalala

na nyege.



jogoo aliposhika kuku,kwa

fujo kamwambia huku

akirefusha bawa moja hadi

chini,na akitembe kama

amelewa kwa kuhema

"wataka kulala na nyege?

hii blanketi yote

utamaliza?"..kisha

akamdona!!.....kwa

kuishiwa na pumzi baada

ya kuhemeshwa-doo!

filimbi tu kupigwa jogoo

kawa amemaliza!!...kuku

naye kaamka akiongea

kichini-chini

"hmmh,muone.huku yua

jipiga kifua na ata sekunde

haishi....make-up yangu

yote kaharibu bure!"

katingisha mwili yote

nakaenda zake!
Dirty minds!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom