Job opportunities.

Barklays kufukuza wafanyakazi

jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna
 
Barklays kufukuza wafanyakazi

jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna

Pole kwa kufukuzwa kazi ghafula ingawaje ingefaa sana kama ungefungua topic yako ikajadiliwa badala ya kutumia topic ya mwenzako kutoa malalamiko yako. Hivi pale Barclays wewe ulikuwa ukifanya kazi katika kitengo gani? Samahani kama swali ili litakukwaza.

Tiba
 
Pole kwa kufukuzwa kazi ghafula ingawaje ingefaa sana kama ungefungua topic yako ikajadiliwa badala ya kutumia topic ya mwenzako kutoa malalamiko yako. Hivi pale Barclays wewe ulikuwa ukifanya kazi katika kitengo gani? Samahani kama swali ili litakukwaza.

Tiba

Unajua haya mambo sikiliza kwa jirani. Yakikukuta ndio utajua dunia ikoje. Lakini jipe moyo wa ujasiri, kufukuzwa kazi ndio mwanzo wa mapambano. Karibu mtaani na mie ni mmoja wa watu waliofukuzwa kazi kwa zengwe.
 
Barklays kufukuza wafanyakazi

jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna


poleni sana ndg zangu! ucjal lipelekeni suala hilo tume ya upatanishi na usuluhishi /Commssiion for mediation and arbitration (CMA),pale karibu na wizara ya kazi,shuka kituo cha akiba.natumaini kama mna haki zetu ambazo mmenyimwa mtapewa tume ikibaini kuna kasoro ktkt kuwaachisha kazi!
kila lakheri wajameni!
 
Pole kwa kufukuzwa kazi ghafula ingawaje ingefaa sana kama ungefungua topic yako ikajadiliwa badala ya kutumia topic ya mwenzako kutoa malalamiko yako. Hivi pale Barclays wewe ulikuwa ukifanya kazi katika kitengo gani? Samahani kama swali ili litakukwaza.

Tiba

Uwiiiiiii, tumbo langu miee! sa' mkuu unataka upeleke cv kwa ajili ya kazi ya huyo mdau, au?!
 
Kama ni watanzania wenzetu wanahusika kuwachongea zengwe, basi watanzania wenyewe kwa wenyewe hatupendani. watu 100?ni wengi mnooo!
Pole sana mdau!
 
Barklays kufukuza wafanyakazi

jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna

Mkuu, pole sana kwa yaliyowakuta! Yaani ushahidi wa mazingira unaonesha wazi kwamba lilikuwa ni tukio la kushitusha sana kwako manake hata thread yako inaonekana ni kama ulikuwa unaandika haraka haraka as if usikutwe ukiandika! Hakuna nukta, wala koma! Wala muda wa kuanzisha thread inayojitegemea hukupata! Poleni sana mkuu; i hope wadau wameliona hili ingawaje sio mbaya ukituliza akili ili ukaleta thread nyingine iliyokaa vizuri na kumuomba mod iwe "sticky".
 
Habari zenu nyote mlio andika kwenye hii post lakini si ustarabu au staa kurukia mada ya mtu,inabidi uanzishe yako.
 
Tabasamu unaingia benki bora kabisa Barclays Bank Tanzania Eutropia Mwambeleko na Paul Russo wako kazini wakimaliza wanawapitia mafao yao kuyazuia wakiamini kwa akili zao mgando kuwa kila mtu amechukua Barclayloan na kama ukiacha kazi kwa barua ya 24hrs wanaona umewadharau watahakikisha wanakukera kiasi cha kutaka uwajibu vibaya ili usipewe certificate of service wakiamini kila anayetoka pale anenda kuajiriwa Benki nyingine.

NB: Barclays inaandikwa hivi (BARCLAYS) na siyo barklays au baklays.
 
Kaz kwel kwel wajamen ivi jaman nimesikia eti sababu ya kuachishwa kaz ni kwa sabbu kaz zao watafanya waindi uko india ivi kwel au?
 
Kaz kwel kwel wajamen ivi jaman nimesikia eti sababu ya kuachishwa kaz ni kwa sabbu kaz zao watafanya waindi uko india ivi kwel au?

Mbona hiyo inajulikana siku nyingi walikuwa wanawaleta vihindi vimechoka na havina shule na hata hawajui wanafanya kazi gani maana hawana role profile zaidi ya kuwapigia kelele watanzania nilishampa mmoja kubwa aangalie rank na siyo kila mtu yupo chini yake hivyo waangalie tabia zao nikaenda kusemewa kwa retail director wa wakati huo manoj hii benk imeshakwisha kama hauamini uliza wateja watakwambia.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom