Job Ndugai na Tundu Lissu uso kwa uso kwenye 'Kpima joto' ITV

hapo ndipo unapochoka kuona ni kwa nini ccm ilimchagua job ndugai. hiki ni kiazi kikubwa anatia aibu. kweli hata hizo kanuni hazijui maskini sembuse kuzisimamia. alipoona amezidiwa akaamua kukonclude kwa kuwasihi watz wajitahidi kuishi kwa amani hali alitakiwa kuhitimisha mada ya kanuni za uendeshaji wa bunge. YAANI OFF-TRAK KABISA. AMEONESHA JINSI MBUMBU HUYU ANAVYOVURUGA BUNGE LETU TUKUFU. CCM NI COMEDIAN MZURI. KWA UJUMLA LISSU AMEFANIKIWA KUFAFANUA UDHAIFU WA USIMAMIZI WA KANUNI ZA BUNGE UNAOFANYWA NA MAKINDA NA NDUGAI. MR NDUGAI JUST FORGET KUWA ULIWAHI KUWA MWENYEKITI WA BUNGE KTK BUNGE LILILOPITA HUNA MAANA KABISA
 
Ahsanteni wote kwa kutoa updates na majumuisho ya mjadala wote.

Mwisho aliepigwa kajulikana na anae onewa kila sikj kajulikana
Lissu huwa anaonewa bungeni kwa kukalishwa chini ila leo hakika imeonekana nani hajui kanuni......Jooob
 
Nimefuatiia kipima joto tangu mwanzo hadi mwisho. Nilichogundua ni kwamba Job Ndungai ana uwezo mdogo sana kushika nafasi ya kiti cha Spika. Kwanza ana hasira za haraka, pili anajiona duni mbele ya watu wenye uwezo kama Tundu Lissu. Kifupi tunahitaji watu Jasiri na wenye kuona mbali kama Tundu Lissu. Tundu Lissu alikuwa anazungumza kama na mdogo wake Job. Ndungai=Pumba
Lissu= Pointi/Ngano
 
Aloo Ndugai kanikumbusha mbali sana....zamaniii darasani tulikuwa darasana na lijamaa linaitwa Bangilana,bingwa la kuigirizia,yani ili liandike mtihani inabidi we ndo uandike,mda wote linasubiri we kwanza uanze.....ukitegea uandike uchane na lenyewe linachana!

Ndo Ndugai leo kila mda anataka kuwa wa mwisho ili Tundu Lissu aanze! ndo tabia za vilaza, anataka asikie we umeongea nini ye ndo apate pa kuanzia! kaabika sana, tena mbele ya mkewe, small house zake na watoto... ukiwa na baba kama Ndugai usiruhusu apate nafasi ya kujadiliana kwa hoja..utaumbuka
 
kweli masako kampendelea lisu mwanzo mwisho kwa kumpa mda mrefu kujieleza kuliko ndugai.

Hamna upendeleo brother, Lissu anajua kucheza na mood ya mjadala ndio maana toka mwanzo alijikita kwenye hoja mahsusi ya muhtadha ambalo ni suala la kanuni za bunge. Hivyo kwa kuwa alikuwa anatembea kwenye mistari ya hoja za mnakasha ndio maana hata muendeshaji wa kipindi Bw Masako akawa anasuuzika sababu alikuwa anapata majibu ya moja kwa moja juu ya swali husika la kipima joto.....

Hivyo kwa post yako hapo juu nazidi kukubali kuwa ukiwa na akili watu watasema unapendelewa hahahahaha kumbe ni hesabu za sheria na siasa tu ndio zinawafanyaga vijana wa cdm kama Lissu waonekane wajuaji na wanapendelewa kumbe hakuna.
 
hili nallo neno........!!!

Siku zote jaribu kuwafatilia hawa watu shallow kama kweli background yake kuanzia shuleni ni nzuri,kijamii pia basi jua anatumika.
Ila kama background yake ni ya kuunga unga na haieleweki basi jua kuwa huyo ni kilaza na amepewa cheo kuficha kilicho nyuma ya pazia
 
Naamini watanzania wameona!! Magamba kazi mnayo, kuzima bunge kumeamsha watu zaidi!
Leo ndugai alikuja kupima upepo kakutana na za uso kutoka kila kona!!

Tusubiri vuvuzela lipite 'kusafisha' huu 'uchafu' kwa kuchafua zaidi!!
 
Ndugai kanifurahisha kweli ...eti wananchi nyie msifarakanike kisa wabunge....sisi huwa tunakunywa pamoja...na tuko wamoja ila huku nje ndio tunatofautiana!!!...Kumbe ndo mlivyo, tushawagundua, na ndio mana nchi imefikia hapa!!
 
Nimefatilia mjadala mwanzo mwisho kweli namlaumu bwana marcus na wenzie kwa kigezo cha kumpa ndugu ndugai maksi nyingi(48%)na kuwa kiongozi kinara bungeni KM HUYU NDIYE NDUGAI HASTAILI KABISA MAKSI HIZO
 
Ndugai angekuwa na busara - tena kidogo tu- angetumia huu mjadala wa leo ili ajipange upya, yeye na boss wake Makinda. Watu waliopiga simu watakuwa wamempa 'hint' kuwa kiti cha Spika kinaharibu bunge.

Hayo madesa wanayopewa na Lukuvi - yeye na Makinda wake - yataizika CCM. Wanawaharibia wabunge wa CCM kabisa wakidhani wanapambana na CHADEMA.
 
Hamna upendeleo brother, Lissu anajua kucheza na mood ya mjadala ndio maana toka mwanzo alijikita kwenye hoja mahsusi ya muhtadha ambalo ni suala la kanuni za bunge. Hivyo kwa kuwa alikuwa anatembea kwenye mistari ya hoja za mnakasha ndio maana hata muendeshaji wa kipindi Bw Masako akawa anasuuzika sababu alikuwa anapata majibu ya moja kwa moja juu ya swali husika la kipima joto.....

Hivyo kwa post yako hapo juu nazidi kukubali kuwa ukiwa na akili watu watasema unapendelewa hahahahaha kumbe ni hesabu za sheria na siasa tu ndio zinawafanyaga vijana wa cdm kama Lissu waonekane wajuaji na wanapendelewa kumbe hakuna.

Ninanukuu, "fortune favors the brave"
 
Yaani mtu mzima kabisa tena kiongozi kwenye chombo cha kuishauri serikali hujui kanuni za hicho chombo hakika hii nchi sasa imefikia pabaya inaonesha huko nyuma kipindi upinzani ni wale Waliofunga ndoa na CCM mambo yalikuwa mabaya ukute hata mikataba ilipotishwa enzi hizo sasa inakuwa activated tu
 
Tundu lisu ampa kibano Job ndugai....mjadala ulikuwa mkali sana...hope sheria za bunge zitafuatwa sasa..lol
 
Ahsanteni wote kwa kutoa updates na majumuisho ya mjadala wote.

Mwisho aliepigwa kajulikana na anae onewa kila sikj kajulikana
Lissu huwa anaonewa bungeni kwa kukalishwa chini ila leo hakika imeonekana nani hajui kanuni......Jooob

Mkuu yani hata mm nilikuwa hapa hapa napata update..Sikutaka kujigusa kabisa..Nilikuwa nasoma tuu...

Kwa jinsi nilivyofuatilia munakasha huu:
.....Lissu: 95%

.....Ndugai: 5%

Hongereni wote mliotupa live update...
 
Kama vile ambavyo tunashukuru ITV kwa kuandaa kipindi cha pima joto mimi nawashukuru wale wote waliokuwa wanaangalia kipindi hicho na kuturushia data hapa JF. Mimi nilieko huku maporini tena kwenye nchi za mbali nimefurahi sana kupata data kupitia hapa JF nimesoma thread zote na at least nimepata picha ya kilichokuwa kinaendelea Mungu awabariki sana na awabariki pia wote wenye ni nzuri na nchi yetu.
 
Back
Top Bottom