Leo katk pita pita zang nilikutana na mjeda flani began alikuwa kma na vinyota viwili nkajaribu kumuulizia kuhusu post za jkt alichosema ni kwamba jkt wako katka hatua za mwisho za maandaliz ya kuandaa makambi pamoja na vitu muhimu kwa ajili ya kurecruit krut wapya na pia eti walikuwa wanasubiri wale waliokuwa na mikataba na waloitimu mafunzo wachukuliwe na vitengo vingine so akanambia weng washaa chukuliwa ikiwemo waliochukuliwa na police waliochukuliwa uhamiaji waliochukuliwa maliasili pamoja na fid force hvyo kuondoka kwa vijana hao ndo kumetoa nafasi kwetu sisi ku be recruited so akasema mwezi ujao ndo wanaita kuanzia tarehe 10 mpaka 20 so wadau tusife moyo yawezekana mungu ameskia kilio chetu cha msingi let us be patient, ila kwa yeyote mwenye infomation zaid tunaomb atujuze wapendwa tutashukru kwa moyo wako wa kusaidia wengine