Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
Ndugu zangu napenda kutanguliza salamu kwenu.
Kama mlisoma tangazo la kujiunga na JKT 2016, katika kipengele cha 9 au 10 kinasema " Awe na cheti original cha matokeo/ transcript". Ugumu unakuja pale kuna madam anayepokea hizi application hataki transcript.
Kwa baadhi ya vyuo kupata cheti huchukua muda mrefu sana, pia transcript hutolewa na NACTE kwahiyo mimi sioni pingamizi ya hizi transcript.
Ombi: Naomba mamlaka husika itoe ufafanuzi kwa hili.
Kama mlisoma tangazo la kujiunga na JKT 2016, katika kipengele cha 9 au 10 kinasema " Awe na cheti original cha matokeo/ transcript". Ugumu unakuja pale kuna madam anayepokea hizi application hataki transcript.
Kwa baadhi ya vyuo kupata cheti huchukua muda mrefu sana, pia transcript hutolewa na NACTE kwahiyo mimi sioni pingamizi ya hizi transcript.
Ombi: Naomba mamlaka husika itoe ufafanuzi kwa hili.