JKT hamkujipanga ktk hili?

Rahlee

Member
Jun 21, 2013
10
2
Wadogozetu walomaliza kidato cha sita wamekwenda jeshini JKT laKini serikali haikutangaza wanatakiwa waende na nini huko jambo ambalo linawalazimu kujinunulua vitu vyakutumia na kama huna ndo inakula kwako,je wanafanya mambo bila kujipanga?tunapaswa kujua mahitaji ya huko ni yapi ili tuwaandalie jaman,mdogowangu kanipigia cmu anasema ndoo yakuogea ndogo inauzwaa 5000 cnikutuumiza sisi tunaotafuta pesa na kwanini hawakusema tuwaandae?
 
Sijaona hata huo umuhimu wa JkT kwani walopata mafunzo ya JKT mwaka jana wapo mitaani na wagwanda yao hawana issue za kufanya
 
Changia tuu utakuja jua baadae!
Ila dogo nae hakuna mto karibu ili awe anajiongezaga?
 
Back
Top Bottom