ni utaratibu ambao ulijiwekea kuongea na wananchi wako?ni ka njia ulikokaweka kuelezea mambo mbalimbali yanayolikumba taifa..alianza kwa mbwembwe mchakato wa kutoa hotuba kila mwisho wa mwezi ..leo ni trh 31-07-20120 nipo nasubiria kumwona rahisi akiongea ktk kioo cha luninga yangu,mwenye information jamani jk kunani pale?hotuba ipo wapi?
ni utaratibu ambao ulijiwekea kuongea na wananchi wako?ni ka njia ulikokaweka kuelezea mambo mbalimbali yanayolikumba taifa..alianza kwa mbwembwe mchakato wa kutoa hotuba kila mwisho wa mwezi ..leo ni trh 31-07-20120 nipo nasubiria kumwona rahisi akiongea ktk kioo cha luninga yangu,mwenye information jamani jk kunani pale?hotuba ipo wapi?
Mwezi uliopita aliongelea mgomo wa madaktari, anaogopa kujitokeza maana lazima aongelee mgomo wa walimu! Two different strikes from different groups in two months what a failure! Shame on you Mr. P!