katika uongozi hakuna kitu kidogo wala kikubwa, kutataua changamoto na kero kwa wananchi ndo utawala bora.Kwahiyo, hao wasitaafu wa EAC, ni serikali inayotakiwa kuwajibika na si vinginevyo.Msemaji mkuu wa serikali ,ni raisi kikatiba.Kwahiyo mtoa hoja ana mashiko sababu hao wastaafu wanateseka sana kuliko hata kutoa rambirambi, pia kuchelesha haki kisheria ni kumnyima haki mhitaji haki wana haki kulipwa, sema serikali ni kiziwi ila kukotokea msiba rambi rambi inapatikana.