Watanzania kwa wivu!
Watanzania kwa wivu!
kutoa salam za rambi rambi kwa msanii maarufu kanumba sio nongwa lakini swali kama hizo rambi rambi tangu anze kutoa wakati wa utawala wake, je hakijafika kiwango cha kuwalipa wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki kama zingekokotolewa hizo rambi rambi?
nikiwa kama mtoto wa mzee wa EAC ni lazima serikali ilipe hili deni.nasikia walitumia hizi fedha kwenye vita vya kagera.Kwani JK ndiye aliyewaajiri wazee wa EAC?
Hao wazee wanadai toka enzi za Mwinyi akaondoka, akaja Mkapa akaondoka baada ya kuwalipa pesa kiduchu na sasa Jk ambaye bado hajamaliza muda wake. So give him a break...come with something more concrete.
Kwani JK ndiye aliyewaajiri wazee wa EAC?
Hao wazee wanadai toka enzi za Mwinyi akaondoka, akaja Mkapa akaondoka baada ya kuwalipa pesa kiduchu na sasa Jk ambaye bado hajamaliza muda wake. So give him a break...come with something more concrete.
Kwani JK ndiye aliyewaajiri wazee wa EAC?
Hao wazee wanadai toka enzi za Mwinyi akaondoka, akaja Mkapa akaondoka baada ya kuwalipa pesa kiduchu na sasa Jk ambaye bado hajamaliza muda wake. So give him a break...come with something more concrete.
huwa watu wanaomtetea jk ...ukiangalia sana utagundua tatizo fulani....
ukishakuwa rais unaongoza taasisi ya urais ...unafaanya yote uliyoyakuta mezani au kwenye makabrasha au kwenye records ....yote ,..yaliyopo na yajayo .....ukimaliza muda wako ...anayekupokea anaendelea....ni akili ya kipuuuzi sana eti kusema ...watu wa EAC hakuwaajiri yeye????
Jambo lingine la kusikitisha ni msiba wA Harun Mahundi ...jk ameshindwa kwenda kumnzika...,polisi wamemzika bila heshima stahili hata said mwema hakuwepo.......kajikosha jana kwenda kuhani msiba wa harun mahundi...sasa tunajiuliza ..aliyetumikia na kujitoa kwa taifa ni Kanumba au Harun Mahundi ..? au kwa ajili harun mahundi sio celebrity kwa saasa.....>>>? where is our priorities as a nation?
Mkuu ina maana Rais katoa rambirambi million kumi? Mmmh ina maana kila msiba kumbe huwa anatoa rambirambi. Ni Rais wetu sote sasa inabidi kila mtanzania akifa awe anatoa Rambirambi kama hiyk vinginevyo itakuwa hatendi haki kwa Raia wake anaowatala.kutoa salam za rambi rambi kwa msanii maarufu kanumba sio nongwa lakini swali kama hizo rambi rambi tangu anze kutoa wakati wa utawala wake, je hakijafika kiwango cha kuwalipa wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki kama zingekokotolewa hizo rambi rambi?
huwa watu wanaomtetea jk ...ukiangalia sana utagundua tatizo fulani....
ukishakuwa rais unaongoza taasisi ya urais ...unafaanya yote uliyoyakuta mezani au kwenye makabrasha au kwenye records ....yote ,..yaliyopo na yajayo .....ukimaliza muda wako ...anayekupokea anaendelea....ni akili ya kipuuuzi sana eti kusema ...watu wa EAC hakuwaajiri yeye????
Jambo lingine la kusikitisha ni msiba wA Harun Mahundi ...jk ameshindwa kwenda kumnzika...,polisi wamemzika bila heshima stahili hata said mwema hakuwepo.......kajikosha jana kwenda kuhani msiba wa harun mahundi...sasa tunajiuliza ..aliyetumikia na kujitoa kwa taifa ni Kanumba au Harun Mahundi ..? au kwa ajili harun mahundi sio celebrity kwa saasa.....>>>? where is our priorities as a nation?