Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
jamani hata public ilivyoupokea msiba wa kanumba ni tofauti na ilivyoupokea msiba wa mahundi au mzee kipara. kikwete & family wameakisi feelings za wengi.
kaka hata siku moja nchi haiendeshwi kwa hisia za watu.....nchi huendweshwa kwa mfumo...........
Kanumba ana mchango mdogo sana kwenye sanaa ukilinganisha na watu kama mzeee jongo ,marijani rajabu..,mzee kipara etc...ambao angetaka angewapa hata nishani......
magazeti ya leo yanasema kanumba mazishi ya kanumba yanaongozwa na makamu wa rais ...lakini kwenye msiba wa mkuu wa jeshi la polisi mstaafu wote hawa walidharu na kujifungia ngorongoro wanakula siku kuu........
this is cheap popularity....ambayo haiwezi kuduma muda mrefu..mrehemu kanumba akishazikwa watu watarudi kuhoji mambo yao ya msingi.....