JK sitaki kuombwa hela

JK sitaki kuombwa hela

AMARIDONG

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2010
Posts
2,501
Reaction score
189
Wenye njaa zao wamepata namba yta Raisi wamempigia na wanamuomba milioni mia hamsini mtaji,baada ya kuchati na kuongea kwa simu bila kuafikiana mkulu kaamua kuibuka nalo kwenye mikutano yao etii sitaki kuombwa hela ,wananiuzi sana watanzania wanaoomba fezaaaaa,

sasa mpaka mnakubaliana mia hamsini,mnachati na kuzungumza ulikuwa hujui kama una hasira nao au sanaa tuu?

wape hela 2015 inakaribia
 
Wenye njaa zao wamepata namba yta Raisi wamempigia na wanamuomba milioni mia hamsini mtaji,baada ya kuchati na kuongea kwa simu bila kuafikiana mkulu kaamua kuibuka nalo kwenye mikutano yao etii sitaki kuombwa hela ,wananiuzi sana watanzania wanaoomba fezaaaaa,

sasa mpaka mnakubaliana mia hamsini,mnachati na kuzungumza ulikuwa hujui kama una hasira nao au sanaa tuu?

wape hela 2015 inakaribia
Unastahili kupigwa ban kwa upuuzi huu.
 
Yaani CHADEMA wanachekesha sana. Maadam wameambiwa wamshambulie sana JK na Kinana, basi zinatengenezwa nyuzi kibao zisizo na kichwa wala miguu
 
Ndo hulka ya watz
Huenda pia tuna matatizo kwa sababu ni wangapi kati yetu tunaombwa fedha na ndugu zetu?
 
Wenye njaa zao wamepata namba yta Raisi wamempigia na wanamuomba milioni mia hamsini mtaji,baada ya kuchati na kuongea kwa simu bila kuafikiana mkulu kaamua kuibuka nalo kwenye mikutano yao etii sitaki kuombwa hela ,wananiuzi sana watanzania wanaoomba fezaaaaa,

sasa mpaka mnakubaliana mia hamsini,mnachati na kuzungumza ulikuwa hujui kama una hasira nao au sanaa tuu?

wape hela 2015 inakaribia
Wewe lazima utakuwa gongo fc.
 
Yaani CHADEMA wanachekesha sana. Maadam wameambiwa wamshambulie sana JK na Kinana, basi zinatengenezwa nyuzi kibao zisizo na kichwa wala miguu

Huu ni ukosefu wa adabu hapa JF. Hivi kila atakaye msema Mbowe ni CCM na ataye msema Kikwete ni Chadema? Huu ni ufinyu wa mawazo na kuharibu jukwaa kwa kulifanya ni jukwaa la vyama.
 
hahahaaa anataka aombwe nini sasa? maana vyote alivyoombwa imekuwa ngumu.
 
Huu ni ukosefu wa adabu hapa JF. Hivi kila atakaye msema Mbowe ni CCM na ataye msema Kikwete ni Chadema? Huu ni ufinyu wa mawazo na kuharibu jukwaa kwa kulifanya ni jukwaa la vyama.

0197-msnbc-more-stupid-nonstop-bullshit-t-shirt-logo-366x366.jpg
 
Back
Top Bottom