Jk. Nyerere.

Jk. Nyerere.

NJIAZOTE MAJEBELE

New Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Kama mwalimu angekuwepo hii leo, haya yanayotokea leo yangekuwapo? Je! Tufanye nini ili tuilinde hii amani adimu kuipata duniani?
 
Hata Nyerere angekuwepo asingefia St.Thomas Uingereza maana huduma zisingekuwa mbovu kiasi cha kutulazimu kumpeleka Huko, Msituletee Shirki zenu hapa Matatizo mangapi yametokea akiwepo,Alipangalo Mola hutokea, Kwa hiyo Nyerere angekuwepo msingekuwa mnateka Waandishi?
 
Kama mwalimu angekuwepo hii leo, haya yanayotokea leo yangekuwapo? Je! Tufanye nini ili tuilinde hii amani adimu kuipata duniani?
JE ANGEKUWEPO LEO, ILE UNIVERSITY KUBWA KULIKO ZOTE KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA(udom) INGEJENGWA? WANAMUZIKI WANGERUDISHIWA HATI MILIKI? JE YANGA NA SIMBA NA VILABU VINGINE VINGEWEZA KUJIENDESHA KIBIASHARA? tungekuwa na uhusiano mdogo wa kibalozi na israel? Je Mbwana samata angeweza kupata shati TP Mazembe? CHADEMA ingekuwepo? kwa hiyo kurudisha azimio la arusha ni sawa kutia mchicha katika grasi ya mtindi. maana mauzi yake ni kufuru kubwa!!!!!!
 
Back
Top Bottom