Umetoa vapour nyingi lakini nadhani kinachowauma sana ni hicho nilichokikata toka kwenye riwaya yako inayotudhalilisha kwamba hatujasoma. Boko Haram! Badala ya kutumia akili na kujiwekea malengo ya muda mrefu mnatafuta short cut za mafanikio ya kugawiwa bila kufuzu. Sasa wanenu wataacha kusoma wakisubiri kuja kupewa madaraka bure. Wakristo ndo wanafelisha shule zilizopo Zanzibar ambako unadai asilimia 99 ya wakazi ni waislamu na tunajua inaongozwa na waislamu?