JK ndio mzee wa maamuzi magumu!

JK ndio mzee wa maamuzi magumu!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,535
Reaction score
31,199
Mzee huyu ambaye alikuwa kijana anastahili lile jina la 'Mzee wa Maamuzi magumu'

Hili halina ubishi na amalidhihirisha mara kadhaa na kwa ustadi wa kipekee.

Mwaka 2010 alikuwa kwenye wakati mgumu sana na humu JF tulihisi asingeweza kushinda uchaguzi na mara baada ya kutangazwa tulihisi asingemaliza muhula wake.

Kuna baadhi yetu tulifikia kusema kuwa ccm ilimuacha mpweke na hata kampeni ilibidi ajipigie mwenyewe na familia na marafiki wa karibu.kwa ufupi alikabiliwa na wakati mgumu yeye kama yeye na chama chake.

Mifano miwili ya maamuzi magumu ni

1-Kumtosa spika samwel sita

2-kumkata Mh Edward lowassa.

Huyu jamaa anatabasamu mda wote lakini ni mbishi wa kikwere mwenye maamuzi magumu mno tena dhidi ya watu wagumu haswa.
Usijali nini kinafuata we kata tu!haya ndiyo maamuzi magumu!maamuzi magumu sio mdomoni ni vitendo.

Yote kwa yote tumpongeze tu!



SIO RASMI....

Kauli ya Kikwete ya hivi punde kwa halmashauri kuu " Hii nchi ni ya Watanzania wote. Kila mtu ana haki ya kuhitumikia! Kila chama kina haki ya kushika dola na kutumikia wananchi kwa sababu ni nchi yao. Hakuna mwenye haki peke yake ya kuongoza nchi hii . Si chama wala mtu mwenye haki ya kipekee kuongoza nchi. CCM haipo peke yake kwenye mchakato huu.! Vyama vya siasa navyo vitaweka wagombea. Pia nao wanasifa ya kutumikia nchi yao. Ni wazalendo pia. Mzalendo akikosekana hapa CCM tunaweza kumpata ndani ya vyama vingine. Siyo dhambi! Nilimchagua Mbatia kutoka NCCR kuwa mbunge. Sikutenda dhambi!...sikulaumiwa! Mkichagua nje ya ccm hamtalahumiwa. Mtakuwa mmekidhi haja yenu ya kikatiba iliyo sahii kabisa. Ni lazima utaribu uheshimiwa la tutakuwa tumeshindwa kabla.......


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Naunga mkono. JK kama mzazi kwanza nampogeza kwa uvumilivu wake. Maana hata lowasa alimuita eti ni mdhaifu ila yeye hakujibu kitu
 
Naunga mkono. JK kama mzazi kwanza nampogeza kwa uvumilivu wake. Maana hata lowasa alimuita eti ni mdhaifu ila yeye hakujibu kitu

SIO RASMI....


Kauli ya Kikwete ya hivi punde kwa halmashauri kuu " Hii nchi ni ya Watanzania wote. Kila mtu ana haki ya kuhitumikia! Kila chama kina haki ya kushika dola na kutumikia wananchi kwa sababu ni nchi yao. Hakuna mwenye haki peke yake ya kuongoza nchi hii . Si chama wala mtu mwenye haki ya kipekee kuongoza nchi. CCM haipo peke yake kwenye mchakato huu.! Vyama vya siasa navyo vitaweka wagombea. Pia nao wanasifa ya kutumikia nchi yao. Ni wazalendo pia. Mzalendo akikosekana hapa CCM tunaweza kumpata ndani ya vyama vingine. Siyo dhambi! Nilimchagua Mbatia kutoka NCCR kuwa mbunge. Sikutenda dhambi!...sikulaumiwa! Mkichagua nje ya ccm hamtalahumiwa. Mtakuwa mmekidhi haja yenu ya kikatiba iliyo sahii kabisa. Ni lazima utaribu uheshimiwa la tutakuwa tumeshindwa kabla.......


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Anacheka lakini moyoni Ni balaa.mkwere kiboko huyu.hamwangalii lowasa usoni.juzi bungeni akamtania lowassa akajuwa jamaa anamsapoti.kumbe ha ha ha changa la macho.
 
SIO RASMI....


Kauli ya Kikwete ya hivi punde kwa halmashauri kuu " Hii nchi ni ya Watanzania wote. Kila mtu ana haki ya kuhitumikia! Kila chama kina haki ya kushika dola na kutumikia wananchi kwa sababu ni nchi yao. Hakuna mwenye haki peke yake ya kuongoza nchi hii . Si chama wala mtu mwenye haki ya kipekee kuongoza nchi. CCM haipo peke yake kwenye mchakato huu.! Vyama vya siasa navyo vitaweka wagombea. Pia nao wanasifa ya kutumikia nchi yao. Ni wazalendo pia. Mzalendo akikosekana hapa CCM tunaweza kumpata ndani ya vyama vingine. Siyo dhambi! Nilimchagua Mbatia kutoka NCCR kuwa mbunge. Sikutenda dhambi!...sikulaumiwa! Mkichagua nje ya ccm hamtalahumiwa. Mtakuwa mmekidhi haja yenu ya kikatiba iliyo sahii kabisa. Ni lazima utaribu uheshimiwa la tutakuwa tumeshindwa kabla.......


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Maneno mazito haya sheikh..
 
Hii nchi siyo ya mafisadi,yaani wale wezi wote wakubwa wa nchi hii,Karamagi,Rostam,Chenge,Apson na majizi mengine eti watuchagulie wa kutuongoza?..aaagh wapi..haiwezekani..
 
JK kumtosa mamvi kweli amefanya maamuzi magumu sana kwa faida ya UKAWA
 
JK ni rais wa kipekee hapa Africa na ni mfano wa kuigwa. Kwanza alishajitanabaisha mapema kuwa anag'atuka kwenye madaraka na wala hana mpango wa kuongeza muda. Kwa hali jinsi ilivyokuwa nimeamini kabisa kuwa huyu jamaa ni mwanajeshi na maamuzi yake si ya kurudi nyuma. Ni kiongozi jasiri na mwenye maono ya mbali. Watu wanaweza wasimuelewe, lakini watu wachache watamuelewa tu. JK umedhihirisha uazalendo wako.
 
Dah haya kweli ni maamuzi magumu angekuwa anafanya hivi kwenye maslahi ya nchi tungefika mbali sana bt ccm inakufa mikononi mwake atakuwa the last king of ccm empire
 
Wanaolialia kukatwa Mamvi hao ni NDORRRROOBO wakubwa!
 
Dah haya kweli ni maamuzi magumu angekuwa anafanya hivi kwenye maslahi ya nchi tungefika mbali sana bt ccm inakufa mikononi mwake atakuwa the last king of ccm empire
Kuwa rais wa mwisho kutoka ccm nayo ni maamuzi magumu.
 
Hii nchi siyo ya mafisadi,yaani wale wezi wote wakubwa wa nchi hii,Karamagi,Rostam,Chenge,Apson na majizi mengine eti watuchagulie wa kutuongoza?..aaagh wapi..haiwezekani..

Nakuamuru uondoe hapo jina la Apson haraka sana!!
 
kuna watu wanafikiri Kikwete ni dhaifu. wanajidanganya.

Mzee huyu ambaye alikuwa kijana anastahili lile jina la 'Mzee wa Maamuzi magumu'

Hili halina ubishi na amalidhihirisha mara kadhaa na kwa ustadi wa kipekee.

Mwaka 2010 alikuwa kwenye wakati mgumu sana na humu JF tulihisi asingeweza kushinda uchaguzi na mara baada ya kutangazwa tulihisi asingemaliza muhula wake.

Kuna baadhi yetu tulifikia kusema kuwa ccm ilimuacha mpweke na hata kampeni ilibidi ajipigie mwenyewe na familia na marafiki wa karibu.kwa ufupi alikabiliwa na wakati mgumu yeye kama yeye na chama chake.

Mifano miwili ya maamuzi magumu ni

1-Kumtosa spika samwel sita

2-kumkata Mh Edward lowassa.

Huyu jamaa anatabasamu mda wote lakini ni mbishi wa kikwere mwenye maamuzi magumu mno tena dhidi ya watu wagumu haswa.
Usijali nini kinafuata we kata tu!haya ndiyo maamuzi magumu!maamuzi magumu sio mdomoni ni vitendo.

Yote kwa yote tumpongeze tu!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
SIO RASMI....


Kauli ya Kikwete ya hivi punde kwa halmashauri kuu " Hii nchi ni ya Watanzania wote. Kila mtu ana haki ya kuhitumikia! Kila chama kina haki ya kushika dola na kutumikia wananchi kwa sababu ni nchi yao. Hakuna mwenye haki peke yake ya kuongoza nchi hii . Si chama wala mtu mwenye haki ya kipekee kuongoza nchi. CCM haipo peke yake kwenye mchakato huu.! Vyama vya siasa navyo vitaweka wagombea. Pia nao wanasifa ya kutumikia nchi yao. Ni wazalendo pia. Mzalendo akikosekana hapa CCM tunaweza kumpata ndani ya vyama vingine. Siyo dhambi! Nilimchagua Mbatia kutoka NCCR kuwa mbunge. Sikutenda dhambi!...sikulaumiwa! Mkichagua nje ya ccm hamtalahumiwa. Mtakuwa mmekidhi haja yenu ya kikatiba iliyo sahii kabisa. Ni lazima utaribu uheshimiwa la tutakuwa tumeshindwa kabla.......


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

JK....shikamoo hakika wewe ndio muasisi wa maamuzi magumu hakuna ubishi waliokuwa wanakuchukulia poa sasa wameisoma Mungu akulinde asante sana umetimiza wajibu wako...masikio hayazidi kichwa
 
Back
Top Bottom