JK na FUNDRAISING ZAKE AIBU

G. Activist

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
482
125
Katika pita pita zangu, nikapita website ya UDSM kunako page ya Announcement nikaona "PRESIDENTIAL FUNDRAISING" Nikawa interested kufuatilia, nikasikitishwa kuona amealika Staff wa Udsm, Friends, na wengineo. kupata dinner ambayo itaambatana na kuwachangisha!!!! Nilisikitishwa sana na hili!! Hivi hawa Staff anawalipa kiasi gani mpaka aanze kuwachangisha!! Halafu mbona hana aibu huyu brother kuchangisha hadi watz tena wenye vipato vya chini!!!!

Hawa jamaa wanaomiliki mabilion na trion hawaoni? si akawachangishe hao!!! Afu hizi wanazoandaa kulipa Dowans c zikafanye kazi ya hizi zitakazoenda changishwa tar 18??!!!!

Inaniuma Wandugu!!!!
 
Back
Top Bottom