JK, Kwa nini muadilifu LOWASSA asiwe naibu Waziri Mkuu!


Huwezi kutoa hukumu bila ya ushahidi kwa kutumia zahania. Wekeni ushahidi hadharani mtu achukuliwe hatua. Acheni majungu ya kishabiki.
 
22


Dr slaa anafaa zaidi kwa nafasi hiyo sio Urais

hivi unaelewa kilichowekwa kwenye hoja au umekurupuka? slaa emetoka wapi? akili ya mtoto wa slaa aliyezaliwa juzi juzi ndio inaweza kulinganishwa na hao magamba kwa akili zao za sasa za ukubwani usimfananishe Dk slaa na nafasi hiyo labda mrema
 
EL anafaa kuwa president, sio unaibu waziri mkuu.
EL hafai kwa lolote.... KAMBARAGE alishasema hatupeani uraisi au uwaziri mkuu kwa kigezo cha urafiki au uswaiba. kama wewe EL ni rafiki yako au swaiba wako mwite nyumbani kwako mnywe naye gahawa, chai, cocoa au hata jackdaniely mkipenda na siyo kupigiana debe la uongozi wa taifa letu hapa jamvini kibaraka mkubwa weee.
 
Huwezi kutoa hukumu bila ya ushahidi kwa kutumia zahania. Wekeni ushahidi hadharani mtu achukuliwe hatua. Acheni majungu ya kishabiki.
kama unataka ushaidi nenda kule tume ya maadili ya viongozi omba file ambalo lina taarifa za utajiri anaomiliki hapa tz na zile nchi zenye tax holiday na umtake akupe maelezo ya namna alivyozipata pia ujiulize kwa nini kina nyerere, sokoine, kawawa,Abood jumbe familia zao ni za kilala hoi mpaka leo zinatunzwa na serikali - mind you brother you can not full all the people all the time - dawa yenu imeshachemka subirini kunyweshwa tuu.
 

Unaonekana mbunifu sana wa hoja. Hayo yako hewani. Tunataka ushahidi wa kumtia mtu hatiani. Matajiri wengine hamuwaoni. Umetekwa zaidi na mambo yanayojadiliwa vijiweni. Unachokizungumza hapa ni sawa na riwaya ya kubuni.
 

Atakubalije na yeye ni Rais miongoni mwa wafuasi na wapambe wenzake?
 
Unaonekana mbunifu sana wa hoja. Hayo yako hewani. Tunataka ushahidi wa kumtia mtu hatiani. Matajiri wengine hamuwaoni. Umetekwa zaidi na mambo yanayojadiliwa vijiweni. Unachokizungumza hapa ni sawa na riwaya ya kubuni.

Swali hilo kamuulize Wilson Mukama pale ofisi ndogo Lumumba. Yeye ndiye ngariba katika jambo hili
 
Ni yule jamaa anayeshukiwa kwa mchezo ule?

Kila mtu ana imani yake na kuamini kile anachoona yeye kinafaa. Kama kaona EL anafaa hayo ni mapendekezo yake. Nyie tatizo lenu nini? Mnataka kutumia udikteta wa mawazo? Hatuwezi kuwa na upande mmoja tu. Mawazo yetu na itikadi zetu zinatofautiana man.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…